Sijawahi kutongoza JF! Huwa inakuwaje?

Sijawahi kutongoza JF! Huwa inakuwaje?

Hata mimi sijawahi hofu yangu kubwa najikuta siziamin hizi avatar huwa nahis ni midume inayojifanya ni ke
 
Nina muda wa miaka kadhaa hapa jukwaani! Nishakutana na warembo kadhaa, ila sijawahi kutongoza either PM or anywhere...

Huwa inakuaje? Tupeane uzoefu...
Unaanza kwa ku-like posts zake hata kama anaongea pumba, then unakuwa unajibu post zake kwa kumsifia, then unahamia PM, huko sasa unajiachia. All the best..., na mrejesho ulete hapa hapa
 
Mimi nahisi itakua inaboa tu. Tuchukulie huku ndo pm sasa.

Castr: Za saa hizi.

Yeye: Nzuri tu mkuu

Castr: Aaah sasa mpaka huku tunaitana mkuu? (Unajichekesha) hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yeye: Ndiyo kwani kote si jf mkuu?

Castr: Ah una hoja ila ni sawa na kusema mke na mume wakiingia chumbani waendelee kuitana majina ya sebuleni walipokua mbele ya watoto..

Yeye: Ushasema mke na mume mkuu, mi na wewe tupo jf.

Castr: (unajichekesha tena)[emoji23] [emoji23] hahaaaahaaa looool unaonekana una vituko sana, ila nitafurahi usiponiita mkuu.

Yeye: Kwanini nisikuite mkuu?

Castr: Naomba tukutane jmos kesho nikupe sababu za kutoitana mkuu.

Kimya cha Saa 3 kinapita

Baadaye unaingia jf unakutana na uzi huu.

Wanaume tuheshimiane huko pm, wengine tumeolewa.

Unacheki muanzisha uzi, ndiyo ulikua naye pm. Mdau mmoja anasema acha kujifagilia weka ushahidi.

Ushahidi huo hapo juu unamwagwa.
Vipi una experience hiyo nini[emoji3]
 
Mimi nahisi itakua inaboa tu. Tuchukulie huku ndo pm sasa.

Castr: Za saa hizi.

Yeye: Nzuri tu mkuu

Castr: Aaah sasa mpaka huku tunaitana mkuu? (Unajichekesha) hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yeye: Ndiyo kwani kote si jf mkuu?

Castr: Ah una hoja ila ni sawa na kusema mke na mume wakiingia chumbani waendelee kuitana majina ya sebuleni walipokua mbele ya watoto..

Yeye: Ushasema mke na mume mkuu, mi na wewe tupo jf.

Castr: (unajichekesha tena)[emoji23] [emoji23] hahaaaahaaa looool unaonekana una vituko sana, ila nitafurahi usiponiita mkuu.

Yeye: Kwanini nisikuite mkuu?

Castr: Naomba tukutane jmos kesho nikupe sababu za kutoitana mkuu.

Kimya cha Saa 3 kinapita

Baadaye unaingia jf unakutana na uzi huu.

Wanaume tuheshimiane huko pm, wengine tumeolewa.

Unacheki muanzisha uzi, ndiyo ulikua naye pm. Mdau mmoja anasema acha kujifagilia weka ushahidi.

Ushahidi huo hapo juu unamwagwa.
Miamia kwako hapo yeye haruki
 
Mimi nahisi itakua inaboa tu. Tuchukulie huku ndo pm sasa.

Castr: Za saa hizi.

Yeye: Nzuri tu mkuu

Castr: Aaah sasa mpaka huku tunaitana mkuu? (Unajichekesha) hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Yeye: Ndiyo kwani kote si jf mkuu?

Castr: Ah una hoja ila ni sawa na kusema mke na mume wakiingia chumbani waendelee kuitana majina ya sebuleni walipokua mbele ya watoto..

Yeye: Ushasema mke na mume mkuu, mi na wewe tupo jf.

Castr: (unajichekesha tena)[emoji23] [emoji23] hahaaaahaaa looool unaonekana una vituko sana, ila nitafurahi usiponiita mkuu.

Yeye: Kwanini nisikuite mkuu?

Castr: Naomba tukutane jmos kesho nikupe sababu za kutoitana mkuu.

Kimya cha Saa 3 kinapita

Baadaye unaingia jf unakutana na uzi huu.

Wanaume tuheshimiane huko pm, wengine tumeolewa.

Unacheki muanzisha uzi, ndiyo ulikua naye pm. Mdau mmoja anasema acha kujifagilia weka ushahidi.

Ushahidi huo hapo juu unamwagwa.
Umetumia muda mwingi kuwaza unafaa ukasaidie serikali ya viwanda
Anza kuntongoza mimi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Unaanza kwa ku-like posts zake hata kama anaongea pumba, then unakuwa unajibu post zake kwa kumsifia, then unahamia PM, huko sasa unajiachia. All the best..., na mrejesho ulete hapa hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom