Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 364
- 468
Tukisema Lissu ni Muongo muwe mnatuelewa. August tu alisema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti. Leo yumo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jinga la Mushumbusi. Mke wa Slaa yuko wapi? Umekuja na upuuzi wako humu tunakuangalia tu. Wewe si ulikuwa unamtuhumu Mbowe kuwa ni mtega sumu? Si uliwahi kimtuhumu humu kumtegea sumu Zitto? Leo unamtetea kwa kuwa umetumwa au umejipendekeza kupata chochote kitu. Mjinga mmoja wewe!!Tukisema Lissu ni Muongo muwe mnatuelewa. August tu alisema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti. Leo yumo
Kampeni zenu ziambatane na sera sio shutumaTukisema Lissu ni Muongo muwe mnatuelewa. August tu alisema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti. Leo yumo.
View attachment 3186485
Mtu sio kama ng'ombe isio badilika hi hali ya chama inabidi aingilie kati kunusuru chama kutoka kwa fisadiTukisema Lissu ni Muongo muwe mnatuelewa. August tu alisema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti. Leo yumo.
View attachment 3186485
Maria kampoteza sana LissuAlisema hajawahi kua na ndoto, hakusema hatakuja kua na hizo ndoto. Sasa kama hadi August hakua nazo, akazipata septemba ama Octoba kuna ubaya gani?
Pia ilikua trick ama mbinu za medali, unamchanganya adui yako asijue nini utafanya hapo baadae.
Sasa aliposema hawahi kua na ndoto Mbowe meno yote nje, sasa amesema ana hizo ndoto imekua nongwa, wapambe wa Ayatolah Freeman Alkaeli Mbowe Kuku Ng'ebendu wa Zabanga Mtawala wa Milele wa Chadema mmechanganyikiwa
Mungu yupi?Mtahangaika sanaaaa, TL ni chaguo la mungu 😀😀😀
Wa bendera 🫨Mungu yupi?
Wewe jinga la Mushumbusi. Mke wa Slaa yuko wapi? Umekuja na upuuzi wako humu tunakuangalia tu. Wewe si ulikuwa unamtuhumu Mbowe kuwa ni mtega sumu? Si uliwahi kimtuhumu humu kumtegea sumu Zitto? Leo unamtetea kwa kuwa umetumwa au umejipendekeza kupata chochote kitu. Mjinga mmoja wewe!!
Punguza ujinga wewe msaliti. Lissu kasema hakuwahi kuwa na ndoto huko nyuma, ila kwa jinsi CCM ilivyopata Asilimia 99 ya wizi ndoto ya kuwa mwenyekiti ikaja.
Ulitaka aseme mapema ili mbowe amuue kama alivyotaka kumuua zitto. Lisu ana akili kubwaTukisema Lissu ni Muongo muwe mnatuelewa. August tu alisema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti. Leo yumo.
View attachment 3186485
mungu gani?😂Mtahangaika sanaaaa, TL ni chaguo la mungu 😀😀😀
Wa benderamungu gani?😂
Shauri yako😉Wa bendera
Lisu hana alichopoteza, aliepoteza zaidi ni Mbowe ambae anapiga kelele ukomo wa madaraka wa ccm halafu yeye hataki kua na huo ukomo kwenye chama chake, hizo ni akili ama matope?Maria kampoteza sana Lissu