Sijawahi kuweka nyimbo za Diamond na kundi lake WCB kwenye cd,simu,pc wala flash..

Sijawahi kuweka nyimbo za Diamond na kundi lake WCB kwenye cd,simu,pc wala flash..

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Labda mtu azikopi mwenyewe
Au nizikute kwenye hiyo disk
Au nizikilize radion
Au zitumwe kwenye .agroup.....
Yaani inshort ..sizielewagi tu...

Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa


Lala salama
Ukimuona
Nataka kulewa


Kamuharibu mpaka harmonize

Wa aiyola,kidonda changu kaanza kuimba broken ingilishi

Zuchu nae namfahamu kupitia kampen za wagombea

Mboso...big no

Lavalava hawezi kuimba wimbo mzuri zaidi ta teja wa mapenzi...

Rayvanny BIG NO...ila kwenye freestly ya kurap naweza kumfikilia

Queen doreen........&&&£##

Mavoko...bora alisepa..japo alishachelewa kugundua...tulizimisi zile MBONA SILALI

SIO MAKOSA YANGU...MAKOSA NI YA KAZI...
 
Labda mtu azikopi mwenyewe
Au nizikute kwenye hiyo disk
Au nizikilize radion
Au zitumwe kwenye .agroup.....
Yaani inshort ..sizielewagi tu...

Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa


Lala salama
Ukimuona
Nataka kulewa


Kamuharibu mpaka harmonize

Wa aiyola,kidonda changu kaanza kuimba broken ingilishi

Zuchu nae namfahamu kupitia kampen za wagombea

Mboso...big no

Lavalava hawezi kuimba wimbo mzuri zaidi ta teja wa mapenzi...

Rayvanny BIG NO...ila kwenye freestly ya kurap naweza kumfikilia

Queen doreen........&&&£##

Mavoko...bora alisepa..japo alishachelewa kugundua...tulizimisi zile MBONA SILALI

SIO MAKOSA YANGU...MAKOSA NI YA KAZI...
Kwa kua wewe humpendi na sisi unatushawishi tusimpende?, Au logic ya uzi huu ni nini?
 
Labda mtu azikopi mwenyewe
Au nizikute kwenye hiyo disk
Au nizikilize radion
Au zitumwe kwenye .agroup.....
Yaani inshort ..sizielewagi tu...

Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa


Lala salama
Ukimuona
Nataka kulewa


Kamuharibu mpaka harmonize

Wa aiyola,kidonda changu kaanza kuimba broken ingilishi

Zuchu nae namfahamu kupitia kampen za wagombea

Mboso...big no

Lavalava hawezi kuimba wimbo mzuri zaidi ta teja wa mapenzi...

Rayvanny BIG NO...ila kwenye freestly ya kurap naweza kumfikilia

Queen doreen........&&&£##

Mavoko...bora alisepa..japo alishachelewa kugundua...tulizimisi zile MBONA SILALI

SIO MAKOSA YANGU...MAKOSA NI YA KAZI...
Kwa hiyo unatakaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda mtu azikopi mwenyewe
Au nizikute kwenye hiyo disk
Au nizikilize radion
Au zitumwe kwenye .agroup.....
Yaani inshort ..sizielewagi tu...

Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu ndio nilizielewa


Lala salama
Ukimuona
Nataka kulewa


Kamuharibu mpaka harmonize

Wa aiyola,kidonda changu kaanza kuimba broken ingilishi

Zuchu nae namfahamu kupitia kampen za wagombea

Mboso...big no

Lavalava hawezi kuimba wimbo mzuri zaidi ta teja wa mapenzi...

Rayvanny BIG NO...ila kwenye freestly ya kurap naweza kumfikilia

Queen doreen........&&&£##

Mavoko...bora alisepa..japo alishachelewa kugundua...tulizimisi zile MBONA SILALI

SIO MAKOSA YANGU...MAKOSA NI YA KAZI...
Tunafananafanana...library yangu ya mziki ina nyimbo 3,000+
including 2 za mondi, 3 za kiba
Harmonize sina
Mboso ndo siwezi kusikliza
Zuchu[emoji17] BIG NO!
Rayvany ni kama 2 tu
WCB imewaharibu kiwango kiwango cha SGR kabsa
 
KWA HIYO UNATUSHAURI NINI KUELEKEA SIKU YA KUPIGA KURA?
 
Diamond na WCB Wana washabiki wao.
Lakini kwa watu wa Caliber za huku jf labda atapata 5 % tu ya watu.

Yeye yupo kibiashara hata Kama hazieleweki na wengi. For as long as anauza, kwake anakua ametimiza Malengo.

Jingine Ni Umri, bro Diamond mashabiki wake Ni less than 22. Years na wachache wa less than 25.
Above hapo hutamwelewa.

Hata mi simuelewi
 
Piga kelele tu hapa wakati watu wanatengeneza mlungula! Kupitia kazi zao wanakula,wanakunywa n.k nipo proud nao kwa baadhi ya kazi zao na hata mafanikio yao pia let them make money..
 
Tunafananafanana...library yangu ya mziki ina nyimbo 3,000+
including 2 za mondi, 3 za kiba
Harmonize sina
Mboso ndo siwezi kusikliza
Zuchu[emoji17] BIG NO!
Rayvany ni kama 2 tu
WCB imewaharibu kiwango kiwango cha SGR kabsa
Tunafananafanana...library yangu ya mziki ina nyimbo 3,000+
including 2 za mondi, 3 za kiba
Harmonize sina
Mboso ndo siwezi kusikliza
Zuchu[emoji17] BIG NO!
Rayvany ni kama 2 tu
WCB imewaharibu kiwango kiwango cha SGR kabsa
Tunafananafanana...library yangu ya mziki ina nyimbo 3,000+
including 2 za mondi, 3 za kiba
Harmonize sina
Mboso ndo siwezi kusikliza
Zuchu[emoji17] BIG NO!
Rayvany ni kama 2 tu
WCB imewaharibu kiwango kiwango cha SGR kabsa
Wanaua mziki kwakeli...ila wabongo vile wanapenda ujinga..wamekamatwa hatari
 
Kama hudanganyi,nilichogundua kwako,itakuwa wew n hiphop ngumu.......one incredible, maarifa,Nash mc,fido vato,young killer,Godzilla,baba marcon,n.k
Sio sana mkuu...mimi ni fere gola,ipupa,werasom,akudo,fm academia bila kusahau christian bella
 
Back
Top Bottom