Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
- Thread starter
-
- #21
Nazungumzia nafsi yangu..nyie sijawakataza kuziskiza na kuzijaza kwenye devices zenuPiga kelele tu hapa wakati watu wanatengeneza mlungula! Kupitia kazi zao wanakula,wanakunywa n.k nipo proud nao kwa baadhi ya kazi zao na hata mafanikio yao pia let them make money..
Vizazi vinavyokuja itakuwa ni balaa tupu...katoto ka darasa la 3 utakuta na kenyewe eti kana video za akina amber luthy huko instaDiamond na WCB Wana washabiki wao.
Lakini kwa watu wa Caliber za huku jf labda atapata 5 % tu ya watu.
Yeye yupo kibiashara hata Kama hazieleweki na wengi. For as long as anauza, kwake anakua ametimiza Malengo.
Jingine Ni Umri, bro Diamond mashabiki wake Ni less than 22. Years na wachache wa less than 25.
Above hapo hutamwelewa.
Hata mi simuelewi
Lakini ukweli ndo huo mkuutoka lini ww ulisha wahi kumkubali Diamond ww kaz kumpangia mtu maisha tu utazan hizo nyimbo mwandishi ni ww apo
angalia ule uzi wako una laumu diamond kumtoa mboso badala ya beka we jamaa network inasoma vizur kweli?
kama ulikuwepo mkuuKama hudanganyi,nilichogundua kwako,itakuwa wew n hiphop ngumu.......one incredible, maarifa,Nash mc,fido vato,young killer,Godzilla,baba marcon,n.k