Sijawahi na sitawahi kumpenda mwanamke awaye yeyote daima

Sijawahi na sitawahi kumpenda mwanamke awaye yeyote daima

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Natumai mwabuheri wa afya tele na mko vema na huu mwaka mupya. Leo nikiwa ndani ya shoo shoo na pisi mpakato yangu nimeulizwa mbona hujanitafuta ni wiki mbili toka tufamiane ulikuwa unasubiria mwaka mupya ufike ndio uniite?

Hapo ni baada ya kula shoo kama awamu mbili na vibez kama zote, mvuvi baharini hajuagi kiza, nimemuangalia nimecheka sana, nimesema unajua nini mimi siwapendi wanawake wote, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpendeza mwanamke yeyote yule.

Kabla sijamaliza kufafanua huyu "Pisi Mpakato" Amelia sana sana na akiwa analia nimemwambia nasubiria umalize kulia ukinyamaza niendelee kukuelezea.

Baada ya kunyamaza, nikamwambia mimi mwanamke huwa namhitajia kwa kusudi langu tu na kusudi langu sio kupenda, namhitajia mwanamke anifanye niwe kamili kwa kupata thamani ambayo bila kuwa nae naikosa.

Awali kabla ya shoo nilimpa dokeza la swali kuwa mbali na sex umejiandaa kuongeza thamani gani kwangu.?

Imechukua muda sana kunielewa, nikamwambia shoo zipo tu zimejaa tele, nikamwambia mimi nahitaji kula, kuvaa, usafi wa ndani, kupiga pasi, kufua, kufagia, kudeki.

Nikamuuliza toka umeingia ndani umefanya chochote katika hivyo nilivyosema akajibu hapana, nikamjibu ndiomana siwezi kumpenda mwanamke kwa sababu nikimtaka ni kwaajili ya kutimiza matakwa yangu na si ya mwanamke, mimi ndiye mwenye pungufu la kumhitajia mwanamke.

Hivyo kama hujui ni thamani gani unayoleta na kuiacha kwangu zaidi ya ngono hata kesho ukirudi morogoro usirudi tena Dodoma kwa ajili yangu kwa maana sex si hhitaji adimu.

Nimemwambia mimi nkimtaka mwanamke namtaka kutimiza hitaji langu na sio lake, akitimiza ya kwangu nikifurahishwa nayo ndio namhifadhi ndani ya roho na nafsi ndipo ntamfanyia matendo ya appreciation kwa yeye kukidhi mahitajio yangu.

Tendo la ngono mimi kwangu si chochote na siwezi kumkumbuka wala kumpenda mwanamke kisa
furaha au raha ya ngono alonipa

Falsafa ni Ile Ile siwapendi, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpenda mwanamke awaye yeyote.

Bali mimi kwa nia na madhumuni huwa namhitajia mwanamke, na matendo yake yakinifurahisha huwa namzawadia sifa na zawadi kedekede na kumkumbuka.

Karibu kwa hii tafakuri ya kuumiza kichwa na kuchukia na kufarahisha na kuelimisha.

Wadiz a.k.a ndio mimi
 
Natumai mwabuheri wa afya tele na mko vema na huu mwaka mupya. Leo nikiwa ndani ya shoo shoo na pisi mpakato yangu nimeulizwa mbona hujanitafuta ni wiki mbili toka tufamiane ulikuwa unasubiria mwaka mupya ufike ndio uniite?

Hapo ni baada ya kula shoo kama awamu mbili na vibez kama zote, mvuvi baharini hajuagi kiza, nimemuangalia nimecheka sana, nimesema unajua nini mimi siwapendi wanawake wote, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpendeza mwanamke yeyote yule.

Kabla sijamaliza kufafanua huyu "Pisi Mpakato" Amelia sana sana na akiwa analia nimemwambia nasubiria umalize kulia ukinyamaza niendelee kukuelezea.

Baada ya kunyamaza, nikamwambia mimi mwanamke huwa namhitajia kwa kusudi langu tu na kusudi langu sio kupenda, namhitajia mwanamke anifanye niwe kamili kwa kupata thamani ambayo bila kuwa nae naikosa.

Awali kabla ya shoo nilimpa dokeza la swali kuwa mbali na sex umejiandaa kuongeza thamani gani kwangu.?

Imechukua muda sana kunielewa, nikamwambia shoo zipo tu zimejaa tele, nikamwambia mimi nahitaji kula, kuvaa, usafi wa ndani, kupiga pasi, kufua, kufagia, kudeki.

Nikamuuliza toka umeingia ndani umefanya chochote katika hivyo nilivyosema akajibu hapana, nikamjibu ndiomana siwezi kumpenda mwanamke kwa sababu nikimtaka ni kwaajili ya kutimiza matakwa yangu na si ya mwanamke, mimi ndiye mwenye pungufu la kumhitajia mwanamke.

Hivyo kama hujui ni thamani gani unayoleta na kuiacha kwangu zaidi ya ngono hata kesho ukirudi morogoro usirudi tena Dodoma kwa ajili yangu kwa maana sex si hhitaji adimu.

Nimemwambia mimi nkimtaka mwanamke namtaka kutimiza hitaji langu na sio lake, akitimiza ya kwangu nikifurahishwa nayo ndio namhifadhi ndani ya roho na nafsi ndipo ntamfanyia matendo ya appreciation kwa yeye kukidhi mahitajio yangu.

Tendo la ngono mimi kwangu si chochote na siwezi kumkumbuka wala kumpenda mwanamke kisa
furaha au raha ya ngono alonipa

Falsafa ni Ile Ile siwapendi, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpenda mwanamke awaye yeyote.

Bali mimi kwa nia na madhumuni huwa namhitajia mwanamke, na matendo yake yakinifurahisha huwa namzawadia sifa na zawadi kedekede na kumkumbuka.

Karibu kwa hii tafakuri ya kuumiza kichwa na kuchukia na kufarahisha na kuelimisha.

Wadiz a.k.a ndio mimi
 
Natumai mwabuheri wa afya tele na mko vema na huu mwaka mupya. Leo nikiwa ndani ya shoo shoo na pisi mpakato yangu nimeulizwa mbona hujanitafuta ni wiki mbili toka tufamiane ulikuwa unasubiria mwaka mupya ufike ndio uniite?

Hapo ni baada ya kula shoo kama awamu mbili na vibez kama zote, mvuvi baharini hajuagi kiza, nimemuangalia nimecheka sana, nimesema unajua nini mimi siwapendi wanawake wote, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpendeza mwanamke yeyote yule.

Kabla sijamaliza kufafanua huyu "Pisi Mpakato" Amelia sana sana na akiwa analia nimemwambia nasubiria umalize kulia ukinyamaza niendelee kukuelezea.

Baada ya kunyamaza, nikamwambia mimi mwanamke huwa namhitajia kwa kusudi langu tu na kusudi langu sio kupenda, namhitajia mwanamke anifanye niwe kamili kwa kupata thamani ambayo bila kuwa nae naikosa.

Awali kabla ya shoo nilimpa dokeza la swali kuwa mbali na sex umejiandaa kuongeza thamani gani kwangu.?

Imechukua muda sana kunielewa, nikamwambia shoo zipo tu zimejaa tele, nikamwambia mimi nahitaji kula, kuvaa, usafi wa ndani, kupiga pasi, kufua, kufagia, kudeki.

Nikamuuliza toka umeingia ndani umefanya chochote katika hivyo nilivyosema akajibu hapana, nikamjibu ndiomana siwezi kumpenda mwanamke kwa sababu nikimtaka ni kwaajili ya kutimiza matakwa yangu na si ya mwanamke, mimi ndiye mwenye pungufu la kumhitajia mwanamke.

Hivyo kama hujui ni thamani gani unayoleta na kuiacha kwangu zaidi ya ngono hata kesho ukirudi morogoro usirudi tena Dodoma kwa ajili yangu kwa maana sex si hhitaji adimu.

Nimemwambia mimi nkimtaka mwanamke namtaka kutimiza hitaji langu na sio lake, akitimiza ya kwangu nikifurahishwa nayo ndio namhifadhi ndani ya roho na nafsi ndipo ntamfanyia matendo ya appreciation kwa yeye kukidhi mahitajio yangu.

Tendo la ngono mimi kwangu si chochote na siwezi kumkumbuka wala kumpenda mwanamke kisa
furaha au raha ya ngono alonipa

Falsafa ni Ile Ile siwapendi, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpenda mwanamke awaye yeyote.

Bali mimi kwa nia na madhumuni huwa namhitajia mwanamke, na matendo yake yakinifurahisha huwa namzawadia sifa na zawadi kedekede na kumkumbuka.

Karibu kwa hii tafakuri ya kuumiza kichwa na kuchukia na kufarahisha na kuelimisha.

Wadiz a.k.a ndio mimi
WANAVYOTUJBU.
KAMPENDEE MAMAKOOO ULIKUWA HUWAELEWI.????
 
Natumai mwabuheri wa afya tele na mko vema na huu mwaka mupya. Leo nikiwa ndani ya shoo shoo na pisi mpakato yangu nimeulizwa mbona hujanitafuta ni wiki mbili toka tufamiane ulikuwa unasubiria mwaka mupya ufike ndio uniite?

Hapo ni baada ya kula shoo kama awamu mbili na vibez kama zote, mvuvi baharini hajuagi kiza, nimemuangalia nimecheka sana, nimesema unajua nini mimi siwapendi wanawake wote, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpendeza mwanamke yeyote yule.

Kabla sijamaliza kufafanua huyu "Pisi Mpakato" Amelia sana sana na akiwa analia nimemwambia nasubiria umalize kulia ukinyamaza niendelee kukuelezea.

Baada ya kunyamaza, nikamwambia mimi mwanamke huwa namhitajia kwa kusudi langu tu na kusudi langu sio kupenda, namhitajia mwanamke anifanye niwe kamili kwa kupata thamani ambayo bila kuwa nae naikosa.

Awali kabla ya shoo nilimpa dokeza la swali kuwa mbali na sex umejiandaa kuongeza thamani gani kwangu.?

Imechukua muda sana kunielewa, nikamwambia shoo zipo tu zimejaa tele, nikamwambia mimi nahitaji kula, kuvaa, usafi wa ndani, kupiga pasi, kufua, kufagia, kudeki.

Nikamuuliza toka umeingia ndani umefanya chochote katika hivyo nilivyosema akajibu hapana, nikamjibu ndiomana siwezi kumpenda mwanamke kwa sababu nikimtaka ni kwaajili ya kutimiza matakwa yangu na si ya mwanamke, mimi ndiye mwenye pungufu la kumhitajia mwanamke.

Hivyo kama hujui ni thamani gani unayoleta na kuiacha kwangu zaidi ya ngono hata kesho ukirudi morogoro usirudi tena Dodoma kwa ajili yangu kwa maana sex si hhitaji adimu.

Nimemwambia mimi nkimtaka mwanamke namtaka kutimiza hitaji langu na sio lake, akitimiza ya kwangu nikifurahishwa nayo ndio namhifadhi ndani ya roho na nafsi ndipo ntamfanyia matendo ya appreciation kwa yeye kukidhi mahitajio yangu.

Tendo la ngono mimi kwangu si chochote na siwezi kumkumbuka wala kumpenda mwanamke kisa
furaha au raha ya ngono alonipa

Falsafa ni Ile Ile siwapendi, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpenda mwanamke awaye yeyote.

Bali mimi kwa nia na madhumuni huwa namhitajia mwanamke, na matendo yake yakinifurahisha huwa namzawadia sifa na zawadi kedekede na kumkumbuka.

Karibu kwa hii tafakuri ya kuumiza kichwa na kuchukia na kufarahisha na kuelimisha.

Wadiz a.k.a ndio mimi
Umezaliwa na chura?!
 
Hata bi
Natumai mwabuheri wa afya tele na mko vema na huu mwaka mupya. Leo nikiwa ndani ya shoo shoo na pisi mpakato yangu nimeulizwa mbona hujanitafuta ni wiki mbili toka tufamiane ulikuwa unasubiria mwaka mupya ufike ndio uniite?

Hapo ni baada ya kula shoo kama awamu mbili na vibez kama zote, mvuvi baharini hajuagi kiza, nimemuangalia nimecheka sana, nimesema unajua nini mimi siwapendi wanawake wote, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpendeza mwanamke yeyote yule.

Kabla sijamaliza kufafanua huyu "Pisi Mpakato" Amelia sana sana na akiwa analia nimemwambia nasubiria umalize kulia ukinyamaza niendelee kukuelezea.

Baada ya kunyamaza, nikamwambia mimi mwanamke huwa namhitajia kwa kusudi langu tu na kusudi langu sio kupenda, namhitajia mwanamke anifanye niwe kamili kwa kupata thamani ambayo bila kuwa nae naikosa.

Awali kabla ya shoo nilimpa dokeza la swali kuwa mbali na sex umejiandaa kuongeza thamani gani kwangu.?

Imechukua muda sana kunielewa, nikamwambia shoo zipo tu zimejaa tele, nikamwambia mimi nahitaji kula, kuvaa, usafi wa ndani, kupiga pasi, kufua, kufagia, kudeki.

Nikamuuliza toka umeingia ndani umefanya chochote katika hivyo nilivyosema akajibu hapana, nikamjibu ndiomana siwezi kumpenda mwanamke kwa sababu nikimtaka ni kwaajili ya kutimiza matakwa yangu na si ya mwanamke, mimi ndiye mwenye pungufu la kumhitajia mwanamke.

Hivyo kama hujui ni thamani gani unayoleta na kuiacha kwangu zaidi ya ngono hata kesho ukirudi morogoro usirudi tena Dodoma kwa ajili yangu kwa maana sex si hhitaji adimu.

Nimemwambia mimi nkimtaka mwanamke namtaka kutimiza hitaji langu na sio lake, akitimiza ya kwangu nikifurahishwa nayo ndio namhifadhi ndani ya roho na nafsi ndipo ntamfanyia matendo ya appreciation kwa yeye kukidhi mahitajio yangu.

Tendo la ngono mimi kwangu si chochote na siwezi kumkumbuka wala kumpenda mwanamke kisa
furaha au raha ya ngono alonipa

Falsafa ni Ile Ile siwapendi, sijawahi kuwapenda na haitatokea kumpenda mwanamke awaye yeyote.

Bali mimi kwa nia na madhumuni huwa namhitajia mwanamke, na matendo yake yakinifurahisha huwa namzawadia sifa na zawadi kedekede na kumkumbuka.

Karibu kwa hii tafakuri ya kuumiza kichwa na kuchukia na kufarahisha na kuelimisha.

Wadiz a.k.a ndio mimi
Hata bibi na mama yako!
 
Back
Top Bottom