Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale st LIKUD hamna elimu nikujipa moyo au kujifariji pale watoto wengi wanatoka patupu kati ya 100 unakuta wanao tomato ni watano tu, kinacho sumbua watanzania wengi hawajazoea kulipia huduma kama shule wanajua ni jukumu la serikali wengine wanakosa muamuko wa elimu tu.Kwa Tanzania na Afrika Elimu ni Elimu tu.
Elimu anayopata wa kayumba na yule wa magari ya njano mwisho wa siku matokeo ni yale yale baada ya kuhitimu (Kusota mtaani)
HahahaPale st LIKUD hamna elimu nikujipa moyo au kujifariji pale watoto wengi wanatoka patupu kati ya 100 unakuta wanao tomato ni watano tu, kinacho sumbua watanzania wengi hawajazoea kulipia huduma kama shule wanajua ni jukumu la serikali wengine wanakosa muamuko wa elimu tu.
Hizo div 1 zenu za kukariri maswali ya past papers sio akili.Hahaha
Uko sahihi
Elimu gani eti hadi uwe exceptional and extra minded ndip upate division 1
Some kids need to be pushed and guided and motivated ili wawe bora