Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose
labda ww ndiye unapiga sio ww toa ushauri kisela kama huwezi unakausha mwana
maisha ya watanzania yamefanyanini mkubwa ww umishawahi kutetea nn nakafanikisha kwa taarifa watanzania wamechoka na maneno maneno bila vitendo subiri kumi na tano utanisikiaSex zipo za aina nyingi, homo and hetero, unataka kufanya ipi zmbzyobado? Ongelea maisha ya wa TZ acha kupoteza muda wetu. Ata kura hujawahi piga ukute
mm sio dogo kama unavyodhaniUlitegemea ushauri wa aina gani????wewe umetoa mada tegemea kila ushauri dogo
nimishasema nyeto sipigi sasa niendelee nn tumia akili mwanaWe Endeleza labeneke la kupiga nyeto.
daaah poa haina noma pota may be ww ulifahamu kupitia mbuzi na topic haujaielewa umekurupuka.angalia mbuzi wanavyofanya, then ka aply.
24yrs, hja du, huja pullika!!!, unaishje mkuu.....?? Hv jogoo anawika kweli??!daah mwana mimi sijawahi piga pull na sihitaji kufanya hivyo
kweli ww mzee wa njaa huwa siongei na wazee maana ww damu imisha poa hivyo maada haikuhusu ww hesabu tu siku na tukutane jukwaa la siasaKaka mada za kipumbavu usilete humu kabisa..uliza marafiki zako au unaishi bila masela wako? tena koma.
kama kawa tena anasumbua usiku na mchana huamini nimpige picha nikutumie akiwa amesimama futi kumi24yrs, hja du, huja pullika!!!, unaishje mkuu.....?? Hv jogoo anawika kweli??!
hata mim nashangaa! 24yrs hata puli haijui,mtarimbo utakuwa umelala doroooo!Wewe bado ni dogo hata kama una 24yrs coz hujajua ku 'do' bado.Ukiwa mkubwa utajua.24yrs, hja du, huja pullika!!!, unaishje mkuu.....?? Hv jogoo anawika kweli??!
Nishamwambia aachane na mambo yetu. Alikuwa wap muda wote? Uzembe!kwa hiyo unataka tukufundishe au unatakaje?
mm sio dogo kama unavyodhani