Sijawahi sex hata one day

Sijawahi sex hata one day

Endelea kuenjoy 'WET DREAMZ' zitakuokoa na janga la Ukimwi
 
Mapenzi hayasukumwi na fikiri bali na hisia,
kuchelewa kwake katika kulewa Mapenzi ni tatizo,
Makosa ya kufanya udogoni atafaya ukubwani,
Hata apate Range hata weza let alone Toyota,
Ndani ya moto tayari ndo mana JF kawakilisha.

His heartbeat motion is a huge mistake.
This is playing with his emotions, not his ability to reason.
 
Hivi mkuu ulitegemea utazaliwa na experience tayari nini ya kufanya mapenzi?

Kwa maelezo yako naona hamu unayo na kama ulivyosema wanawake unawapata lakini siku ya kufanya nao mapenzi una kula kona kwa vile una ogopa.

Weka uoga pembeni mkuu manake sijui utaendelea kuwa muoga mpaka lini. Wewe nenda tu mkuu usiogope kuchemsha, ukichemsha mueleze utakaye mpata ukweli atakupa mda wa kufanya nae mazoezi mpaka na wewe utakuja kuwa striker mwenye kujiamini mbele ya goli.

Sio kosa lako mkuu kuchelewa ,mazingira pia mtu anayokulia uchangia.

Kila la kheri kumbuka kutumia kinga UKIMWI UNAUA.
 
kama hujawahi, jaribu kukaa na rafiki yako ambae ni mzoefu ktk mambo hayo, usione aibu kumweleza, atakupa mbinu kamilifu. Ukifanikisha, pls play safe! I mean use condom,
 
Hongera sana endelea na kitabu ukimaliza hayo mambo yatakuja yenyewe
Unaweza muona hata Babu Asprin Chemba atakupa maujuzi

ila kwa sasa tulia endelea a misimamo yako
 
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose
kweli naweza nikakubaliana na ww kuwa ujawahi bt kwa dunia ya sasaivi cdhani kama kweli?lakini kama upo poa inamaana ujawai ata kuota una sex?kwa ushauli wangu mm tafuta mda cku moja angalia move za x then ona unajisikiaje,ikishindikana na ivyo tena aiseee nenda hosptali or utakuwa sio mzma,bt pole weee unakosa raaa dunianiiiii.....
 
Hongera sana endelea na kitabu ukimaliza hayo mambo yatakuja yenyewe
Unaweza muona hata Babu Asprin Chemba atakupa maujuzi

ila kwa sasa tulia endelea a misimamo yako
uyu hana msimamo coz anatamani kusex lakin muoga na anatongoza so angekuwa na msimamo asinge yafikilia ayo,ni uoga aliokuwa nao.pole yake
 
Njoo nikufundishe kijana umezubaa hadi umri wote huo??? cha muhimu ni kuondoa hiyo aibu kwani hakuna cha ajabu kwenye sex, anza na msichana aliyekuzidi umri utafyrahia zaidi sababu unaogopa yeye atakuchukulia kama mvulana mdogo hata ukichemsha atajua sababu ya umri wako mdogo , ilaukichukua ki sista duu ukaanza kutetemeka mbele yake ndio mambo ya kutangaziwa hayo yanafata
 
Jamani mtu ameomba ushauri kwanini msimshauri badala yake mnamsuta!!! kama mtu huna ushauri si uache thread ipite!
 
Thanks blackberry nadhani anahitaji ushauri kama huo, aanze pole2 then atazoea, umemshauri vizuri mana akianza na msichana ambaye naye ni mdogo na hana uzoefu ataishia kumsema kwa mashoga zake kuwa jamaa zero, but kama ulivyosema msichana aliyemzidi atamfundisha wanawake wanapaswa kufanyia nini!!!ila skwa ushauri huu hatumaanishi uende kwa mijimama na wake za watu!!!!
 
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose

Yaani Mwenyekiti wetu unataka kukisaliti chama?kumbe wewe ukija huku unabadilika akili eeeenh?tafadhari ( CHAWAPUA )itayumba plz usiondoke au ushachoka mkuu?
 
Uzoefu unaonyesha watu wa hivi wanakuja kuwa hatari sana mbeleni kwani wakati anatakiwa atulie kwenye ndoa yeye ndo anaona mwezi yaani hawatulii kabisaaaa. Nina mifano mingi kwa sababu wao kila kitu kwao kitakuwa ni asubuhi yaaani wanakuwa moto kwa kila anayekatiza mbele. Heri umpate ambaye anauzoefu kiasi then anaweza kuwa mtulivu kuliko hawa wanaokuja jua ukubwani. Hawa hata kubaka wanaweza.
 
Back
Top Bottom