Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi hayasukumwi na fikiri bali na hisia,
kuchelewa kwake katika kulewa Mapenzi ni tatizo,
Makosa ya kufanya udogoni atafaya ukubwani,
Hata apate Range hata weza let alone Toyota,
Ndani ya moto tayari ndo mana JF kawakilisha.
His heartbeat motion is a huge mistake.
This is playing with his emotions, not his ability to reason.
Bwana Mbu, kwan m2 huanza mapenzi ili badae aache??!!!
kweli naweza nikakubaliana na ww kuwa ujawahi bt kwa dunia ya sasaivi cdhani kama kweli?lakini kama upo poa inamaana ujawai ata kuota una sex?kwa ushauli wangu mm tafuta mda cku moja angalia move za x then ona unajisikiaje,ikishindikana na ivyo tena aiseee nenda hosptali or utakuwa sio mzma,bt pole weee unakosa raaa dunianiiiii.....Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose
uyu hana msimamo coz anatamani kusex lakin muoga na anatongoza so angekuwa na msimamo asinge yafikilia ayo,ni uoga aliokuwa nao.pole yakeHongera sana endelea na kitabu ukimaliza hayo mambo yatakuja yenyewe
Unaweza muona hata Babu Asprin Chemba atakupa maujuzi
ila kwa sasa tulia endelea a misimamo yako
kusex sio sura mshikaji may b hana swaga za kuvutia or ana nyama ya ulimi?means ana maneno matamu,mzee una sura inatisha duh
mapenzi ayafundishwi bwana angekuwa anataka kufundishwa asingeweza kutongoza?kama ajui atafundishwa na atakae mpata.kwa hiyo unataka tukufundishe au unatakaje?
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose