Sijawahi sex hata one day

Sijawahi sex hata one day

Tunza uoga wako mkuu, msubiri mkeo aje akufundishe mambo!
 
Ndo ujue bado hujaiva vizuri kufanya hayo mambo. Umri ukifika utajiamini. let time play its part. Dont force things. ok budy?
 
Nina miaka 24 ninasoma chuo sijawahi sex hata siku moja hivyo nimejawa na hofu kubwa sana kwamba itakuaje hiyo siku hivyo inapelekea uoga wa kuwa na uhusiano na msichana kwakufikiria itakuaje siku akihitaji sex wengine wananifata nakataa sio kwa siwapendi au sitaki hapana nikwamba nafikiri itakuaje sasa hiyo siku akitaka? Na wengine nawatoke mwenyewe wanakubali wakihitaji sex nawazungusha hadi wananitosa wananiona siosio ila mimi najiona niko poa ,sasa hii inakuaje? Na mimi nahitaji kupasha. yaani hadi naogopa kwa hali hii ntakuja kuoa!! Sasa sijui nifanyeje ili niwe na confidence yakutosha maana najikaza lakini bado naloose

Adam, wewe usipoteze muda wako kufikiri sana itakuwaje. ujue hapa kuna pande 2 kiziwi na bubu nao hawa wawili wakikutana ajabu ya Mungu huweza kuzungumza, kusikilizana na kuelewana, nina maanisha hawa jamaa wawili waishio katikati ya miguu huwa wana mawasiliano ya karibu sana, siku wakionana wenyewe watajua namna ya kuzungumza na utashangaa kasi na ufanisi utakaokuwa nao ck ukiamua kufanya kweli, we ulilona wapi nyoka akafunzwa kugonga, anazaliwa na sumu yake na anagonga bila kupata shule yoyote sembuse wewe binadamu umeshaona mikanda ya X mingapi, umesimuliana na wenzako mambo kibao utashindwaje? amka chukua hatua!
 
Back
Top Bottom