Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Unanipoteza mkuu
Siamini kama hii comment imeandikwa na wewe; yaani kistaarabu, kinyenyekevu na kistahaa kabisa.Pamoja na ushauri utakaopewa na wanaume wenzio hebu zungumza na mpenzi wako. Mweleze ukweli naona hofu zaidi ndio inayokupa shida.
Huu ushauri wa mwanachaputa [emoji23][emoji23]Pole sana mkuu, ila usi-complicate sana kwenye papuchi.. Hata ukipiga hiko kimoja na ukaridhika haina shida..
Demu akikwambia huwezi, hajsridhika potelea mbali hakuna mtu aliyepata prize kwenye love.. Kila mtu apambane na hali yake
Fanya mazoezi, kula mbg za majani na matunda kwa wingi, ukiwa nae kitandani hakikisha unabadilisha yako usiwaze jinsi utakavyompiga Ukuni waza kuhusu vitu tofauti na sex mfano madeni hapo itakufanya usiwe na hisia za fasta.
NB. Fanya mazoezi tena konki search youtube.
KWA KUTUMIA BOOSTER
Chukua vitunguu maji kisha uvitwange au kusaga kwenye brenda then weka maji na uchemshe baada ya kuchemsha chuja na weka asali mbichi kwenye yale maji ulyochemsha ya vitunguu.
ACHAA ipoe. Tumia kijiko cha chakula 2x3 kwa wiki au mwezi.
USISAHAU MAZOEZI MBOGA ZA MAJANI (chemsha kwa dk 3-5), kula matunda na unywe maji ya kutosha.
NB : Mazoezi yawe sehemu ya maisha yako.
Samahani kwa Typing error kama zipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu kama hutojali nipe namba ya uyo mdada
"Wewe wasema"Huu ushauri wa mwanachaputa [emoji23][emoji23]
shwari brother niambieOya baharia mambo vipi
Ao agongeweee mpakaa ashangaeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...usijali mkuu ili tatizo ata mm linanikutaga ila tofauti kdogo na ww..kwenye romance nakuwa npo vzur naweza nkachukua ata dk 30 ila nikiingiza kwenye k bao la kwanza it won't take even two min ila nkabaini kwamba I was so scared abt kugegeda,pia uzoefu wa haya mamb na kupania gemu.
So usiogope mkuu polepole utazoea tu kikubwa kujiamini.
LAKINI JITAHIDI MKUU UOE..
Yani anavuta sana mahisiaa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hamu zikizidi haya ndo matatizo yakePole ndg sikunyinginee jitahidii kucontrol hisia zakoo usizifunguliee Sana ukionaa unakaribia kufika kunako jitahidii kuhamishaa hisiaaa piaa punguzaa kupaniaa tendo napiaa punguzaa hofuu
KINACHO KUSUMBUAA UNAKUWA NA HISIA KALI SANAA
Kicheche si ndo anataka uchomeke asepee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo ndo unammaliza jamaa!!Tatizo kubwa ni kutojiamini. Hujiamini kwa sababu ww mwenyewe unajua hujui hizo mambo na sumu uliyolishwa na walezi wako kuhusu mapenzi ndo inahusika zaidi hapa. Njia rahisi ya ww kutoka kwenye hii hali ni kupata demu mwenye uzoefu wa kutosha.
Na awe anajua tatizo lako..!! Huyo anaweza kukusaidia sana kuanza kujiamini ukiwa ktk mazingira hayo. Na ni vizuri uanze kuchukua hatua haraka sana za kuanza kuondoa hiyo hali uoga ili uanze kujiamini. Usipochukua hatua hata siku umefanikiwa utakuja kuingiza kichwa tu na kumwaga..!! Km huyo mpnz wako ana uelewa wa kutosha na ana uzoefu kuliko wewe sema naye ili akusaidie kuondokana na hiyo hali.
Unaweza kumtumia hata jamaa yako akakutafutia dem kicheche akamueleza kila kitu,ili ukikutana naye ajue jinsi ya kukuandaa kabla ya kuingia. Kwa maelezo yako,hata hizo romance unazodai huwa unafanya na huyo mpnz wako,lazima huwa unapapara.!
Ukiondoa hiyo hali ya kutojiamini hilo tatizo utakuwa umelitatua mkuu.! Pole kwa yote
Samahani mkuuWakuu maisha yangu yote sijawai kujihusisha na mapenzi, nilikua napendwa sana na galz but nilikua sina time nao. Wakati nipo 6 niliingia kwenye mahusiano na dada m1 but nilimwacha bila sababu yoyote ya msingi tulidumu kwa mwez tu. Sijawai kusex ndugu zangu, Nilikua nafanya nae romance lazima nimwage wazungu nakua sina ham tena ya romance. Kutokana na kulelewa malez ya kimungu na my family na ushaur niliokuwa napewa na wazaz niliogopa sana kufanya mapenz hasa niliambiwa kuna UKIMWI.
Since nmeingia college sijawai kujihusisha na mahusiano nilikua busy sana na shule hata madem nilikua sina time nao. Nimeishi maisha ya usingle kwa miaka3 yote ya chuo. Baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata mpenzi mwez8, tulipendana sana but yeye alikuw anasoma bado. Kutokana niliona ni muda wangu sahihi wa mm kuanza mahusiano.
Mapenz yalizid kua, tulizid pendana na kila tukimeet tulikuw lazma tufanye romance, shida ilikua kila tukiwa kwa romance sichukui hata dk3 nimemwaga na kuwa sina ham tena. Hali hii ilikuwa inanipa shida sana. Toka niwe kwa mahusiano na huyu dada sikuwai kuwaza kusex nae, ilivofika march mwakahuu dada alianza waka why sijawai omba hata sex?? Au namchepuka?? Ila nashukuru hakuwa kind ya gal anaependa sex.Akaomba weeknd lazma tusex amemiss, nilimwambia sawa. Nililpa lodge elfu30 lakin baada ya kuanza romance dk3 nyingi kwangu namwaga sina ham tena. Nikamwambia dada me siko vzr nxt time japo alikuwa akiendelea nifanyia kashkash but me ndo hvo sina mzuka.
Ilibd tulale tu mle lodge ili kufidia pesa yetu tukasepa. Baada ya hapo nilisafiri july nikarud, kuna doctor nilimweleza abt this akanishauri, ule ushaur niliushauri hta nilivorud nikaomba game akasema sawa. Tulienda lodge kama kawaida dis time nilijitahid sana romance nikafanya nae vzr ikafika stage ya kumvua nguo nilimvua zote. Nilivomtanua miguu niliona K yake ilivokuwa nzuri imetuna nikamwagia boxer. Ham ikakata niliona aibu sana japo dis time nikapotezea kwa kuendelea fanya nae romance baada ya dk20 mashine ikasimama kwenye kuingiza nikawa nashindwa mpaka nikamwaga tena. Nitakuw mgonjwa au shida nn? Au sababu ya kuwa single muda wote?
Miaka yangu yote ya usingle sijawai kuwa addicted na puli japo nilikua napiga sometimes . Nipeni wanajf abt this.