Sijivunii wazazi wangu

Sawa, ubarikiwe
 
Kifupi ni kwamba fanya kulingana na moyo wako usiforce ikiwa moyo hautaki..
Pia kama waliishi maisha yao kwa anasa na kutojipanga usikubali kubeba mzigo huo..
Ogopa mtu anajekufanya ujione na hatia kila wakati huo ni ubinafsi..
Usikope hela kusaidia mtu never never
 
thank you for the advice man
 
HESHIMU Baba na mama yako (waliokuzaa) upate kuishi miaka mingi na heri duniani! Mapungufu yao hayabadili ukweli kuwa walikuzaa, bila wao kukutana usingetype huu UPUMBAVU hapa!
 
Nikikuta simba anataka kumla baba angu nitamsaidia simba amle Vizuri. Basi tu siwezi kumbadirisha!
people think it's easy mtu kumlaumu mzazi, watu tunawapenda sana wazazi wetu ila wanachotufanyia hadi kuna wakati mtu unafika unawaza au hawa sio wazazi wangu? waliozaliwa wakabahatika kupata wazazi wanaojielewa vizuri hawawezi kuelewa nini nasema.
 
Wazazi wachache sana wanajielewa
Wengi wanazaa tu ili kuonekana wana watoto lakin kuhudumia watoto hakuna wanaacha watoto wajitegemee umri mdogo na Ndio maana watoto wengi wa kike wanadanga sana kwasababu ya umaskin kwao
Ingekuwa wazazi wanazaa kwa mpango na kutunza watoto wao vizuri mabinti wengi wasingehangaika
Kuna wale wazazi wanazaa kila mtoto baba yake familia inakuwa na mgawanyiko mkubwa
 
HESHIMU Baba na mama yako (waliokuzaa) upate kuishi miaka mingi na heri duniani! Mapungufu yao hayabadili ukweli kuwa walikuzaa, bila wao kukutana usingetype huu UPUMBAVU hapa!
Mkuu wapi nimesema siwaheshimu? kutokujivunia na kutokuheshimu ni vitu sawa? Acheni kufikiri watu hawajitambui bhna ndo maana mwanzo nikasema huu uzi ni mgumu maana sio rahisi kukuta mtu akiandika kulaumu wazazi wake maana wengi tunaamini wazazi wetu wana upendo kwetu kuliko kiumbe yeyote
 
Another idiot
Jitafakari mkuu sometimes usipoelewa mambo kiundani unaweza ukawa wewe ndo idiot kabla ya ku-comment mfikirie alieandika ni kitu gani kapitia hadi akaandika, na usingalie wewe unachopitia
 
Imagine, Hapa mimi nawawaza future yao kuliko hata future yangu.... wanapoelekea ni uzee then they don't even own a house hata kama ni ya msonge ila ningejua kwamba nitawazingatia kula hadi Mungu abariki kama ningeweza kuwajengea lakini wapi, ni kwamba mimi ndo nakuja kuangukiwa na majukumu yote hayo ...na ukiwatazama hata haya ninayoyawaza hayapo akili mwao
 
Umeongea point sana hapa maana kuna mtoto wa ndugu yangu alizaliwa alipofikisha miezi mitatu baba yake akafariki kwa malaria hivyo hamjui baba tunamuonesha picha tu na anaishi mpka sasa na yuko form two
 
jitafakari mkuu sometimes usipoelewa mambo kiundani unaweza ukawa wewe ndo idiot kabla ya ku-comment mfikirie alieandika ni kitu gani kapitia hadi akaandika, na usingalie wewe unachopitia
Haijalishi umepitia nini Baba yako alitoa mbegu Mama yako akatoa yai ukazaliwa. Bila wao usingekuwepo unapata wapi nguvu za kusema "nikimkuta simba anamburuza baba nitamsaidia "? Narudia tena kwa kiswahili huu ni UJINGA
 
Haijalishi umepitia nini Baba yako alitoa mbegu Mama yako akatoa yai ukazaliwa. Bila wao usingekuwepo unapata wapi nguvu za kusema "nikimkuta simba anamburuza baba nitamsaidia "? Narudia tena kwa kiswahili huu ni UJINGA
kuzaliwa unataka wewe mkuu?
 
Kama mama yako hakupendi Nani alikunyonyesha ukiwa mdogo? IDIOT
 
Pole kaka na muungwana hubeba mapungufu ya wengine na wazazi ni wazazi hakuna fotokopi!!!!Wapende tu na ujivunie
 
Naam kuna wakati wazazi wanazingua sana, ila hupaswi kuwa na kinyongo kwa mzazi wako kamwe. We samehe kisha sahau kama kuna jambo limetokea, tumia akili kuepuka matatizo yanayo kukabili, kamwe usitumie mihemko.

Epuka kuingilia ugomvi wa wazazi wako, wazazi ni wakuwapenda sana ata kama hawaja tenda wema kwako. Wapende, waheshimu na wajali wazazi wako kadri uwezavyo.
 
Kuna unafiki wa watu wengi hapa Afrika kujifanya wana busara sana za kusema mzazi hakosei. Hakuna mtu alitumiwa barua na mtoto wake ili amzae. Unapompata mtoto ni wajibu wako kumlea hadi atakapojitegemea. Sasa kumleta kiumbe duniani na kumwacha ateseke si ni ushenzi uliopitiliza? Wengi wetu ni tumeamua tu kupotezea ila wazazi wengi hawataki kujua kijana anaishije baada ya kuondoka nyumbani wao ni mizinga ya kila mara. Halafu kitu kidogo tu hukimbilia kulaani mtoto. Watu tunawapenda wazazi ila wazazi nao wanatumia madaraka yao vibaya. Yaani kuna saa hadi unaogopa kupiga simu ya kusalimia kwa kuogopa kizinga. Nashauri wazazi vijana na wanaotarajia kuwa wazazi tupambane sana dhidi ya umaskini na tubebe majukumu yote hadi mtoto atakapoweza kujietegemea. Usimzae mtoto ukitegemea atakuja kuwa kitegauchumi chako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…