Mtumishi wa Mungu baada ya kufananishwa na kibaka ndio ukaona wigi la mrembo baya ππππ mabaharia hatukosagi kasoro tukizinguliwa pole sana baba mchungaji.
Alijua akikusifia hutoki bilaa namba na isitoshe pia namna ulivyomfata yawezekana ulikosea pia kama wewe ni mbayaaa basi hayo ndio malipo na mshahara wako [emoji16][emoji16][emoji16]