Sijui bikra yangu ilitoka vipi? Au sikuzaliwa bikra?

Sijui bikra yangu ilitoka vipi? Au sikuzaliwa bikra?

Huwa nasikia siku ya kwanza mwanamke kukutana na mwanaume ni lazima damu imtoke,haikutokea kwangu,nakumbuka nilikutana na mwanaume kwa mara ya kwanza nikiwa na miaka 26 yupo alietangulia mwaka mmoja nyuma nakumbuka aliweka tu kidogo nikapiga kelele akaacha.Haikutoka damu yoyote,mwaka uliofuta ndo huyu mwingine tulifanya mwanzo mwisho niliumia tu kidogo ila haikutoka damu yoyoye.

Je bikra yangu ilienda wapi huwa najiuliza sana. Je kujichua kunaweza kutoa bikra? Mbona nako sikuona damu?


Zaidi ya vidole vya TARATIBU uliwahi kuwa unaendesha baiskeli au kupanda farasi?? Wazoefu wanasema hivyo navyo huzibandua bikra kimya kimya....Wenye uhakika wanaweza kutusaidia...
 
Sasa kiukweli bikira bado. Unayo ila nakuomba nifate inbox uone jinsi bikirayako ilipo
 
kumbe damu inatakiwa itoke! okey subiri yangu itakapotolewa niangalie km damu itatoka.
 
dada utakua ulikua unaingiliwa bila kujijua
 
Lmao, I don't normally like Jf but
this was epic!!
 
Mim nimeelewa huyo mwanaume ndo alimwekea kidole....!Au nimeeleewa vibaya
..maana watu mnakazania punyeto
 
Back
Top Bottom