Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh...!.Mohamed Said unawasikia Vijana? Wanakumbusha madrasa kugeuzwa sunday school!
Nimesoma hii nikitokea katika viunga vya minazi, leio janguo liliitika, si haba. Kesho nitacheka ngamiani sokoni
Nakugutia vijana wana neno, ukishawasoma tuhamie kule tujadili kwa kina na urefu wake.
Au unasubiri kuyasema wakati wa Taazia?
Pascal Mayalla Mag3
"Zilikuwa zimesahaulika, zimeibuka tena ghafla baada ya kushinda", unasema? Baada ya "kushinda" uchaguzi upi? Huu ubabe wenu na kuwafanya Watanzania wapumbavu, safari hii mtatumia mtutu wa bunduki kumtangaza Gwajima.Hizo kauli zake zilikuwa zimesahaulika naona zimeibuka tena gafla baada ya kushinda ,hii funzo kwamba kuwa makini na unachoongea itafika mda itakuathiri ,sasa hivi hii hoja yake imeibuliwa upya tena kwa ushawishi mkubwa
Zipi tena hizo?Unataka tufukue kashfa za Pascal Mayalla , maana naye ni wa kulekule
Kama Gwajima Ni weak candidate against Mdee kusingekuwa na thread nyingiii za kumchafua, hicho Ni kiashiria kuwa anaogopeka
Video hii itamletea taabu sana,lugha aliyotumia ni kali mno.Bahati mbaya Gwajiboy bungeni huwezi kurap,airtime ya bungeni utapewa 15 minutes only,pia kuna point of information huwezi kubwabwaja maneno bila udhibiti wa Spika. Najiuliza na sipati jibu ya Gwajiboy kusaka ubunge ni faida ya nani?Alimshambulia Askofu Pengo kama mtu binafsi, lakini alijidai hatambui mamlaka ya Askofu Pengo kikanisa, na alimtukana, mjinga na mpumbavu.
Au MteraJana nilikua kawe jamaa wanasema hatuna maneno mengi wamlete huyo askofu wao tapeli kazi ni moja tuu.nikajisemea kimoyomoyo kumtawala msomi ihaitaji akili ya ziada. Bora wangempeleka akagombee mvumi huko dodoma vijijini.