RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Kiongozi yupi wa dini kiislamu aliemuita mkristo kafil Kisha akataka madaraka yakisiasa wakristo wakampigia Kura? .Tuliza mihemko ww..unavyosema hakuna muislam atakae mpigia kura ina maana waislam wapiga kura wote watapitia kwako kukupa habar za waliompigia kura? Kura ni siri ya mtu.
Mara ngapi waislam huwaita wakristo ni Makafir? Je si kukashifu dini ya wengine?
Kuikashifu dini yetu kwako linaweza kuwa jambo dogo, lakini kwa muislam hakuna cheny thaman zaidi ya dini yake.Sizani kama Waislam wote wana nongwa ya kujali mambo madogo!
Kwamba Eti mtu akashikilie mihemko ya wahubiri au watoa mawaidha weeee!
Sasa nikuulize watoa mawaidha ya Kiislam huwa wanawazungumziaje wakristo?
Je wakristo nao wawe wanashikilia kauli hizo zikiwapo za kuwaita makafiri
Tuacheni nongwa za udini tushirikiane sisi sote ni waTZ , tuchague mtu atakaleta maendeleo yatakayoonekana kwa macho!
Tumchague mtu ambaye atashirikiana na serikali katika kutuletea maendeleo jimboni ambae ni Gwajima.
Halima wakati wote yeye kuendesha kesi zidi ya serikali Huyu kushirikiana na serikali kueleza kero za watu wa jimbo lake ni vigumu!
Ukiwa ccm unaongea tu mwanzo mwisho, na ukikatishwa hata Segundo, wanakufidia 15 zingine.Video hii itamletea taabu sana,lugha aliyotumia ni kali mno.Bahati mbaya Gwajiboy bungeni huwezi kurap,airtime ya bungeni utapewa 15 minutes only,pia kuna point of information huwezi kubwabwaja maneno bila udhibiti wa Spika. Najiuliza na sipati jibu ya Gwajiboy kusaka ubunge ni faida ya nani?
Kuikashifu dini yetu kwako linaweza kuwa jambo dogo, lakini kwa muislam hakuna cheny thaman zaidi ya dini yake.
Kiongozi yupi wa dini kiislamu aliemuita mkristo kafil Kisha akataka madaraka yakisiasa wakristo wakampigia Kura? .
Viongozi wadini wabaki katika dini zao viongozi wakisiasa watumikie siasa zao. Narudia kukueleza hakuna muislam anaweza mchagua Gwajima, Halima pia nimkristo lakini waislam wako tayari kumchagua Halima maana hakuna mahala popote alipoikashifu dini yamtu mwingine. Au Mkristo yeyote atachaguliwa na waislam lakini sio yule anaesimama hadharani kutukashifu, mtu anaekashifu kabla hajapata madaraka,akipata itakuwaje?Hata ikitokea nakwambia wakristo siyo watu wakujali mambo madogo hivyo!
Wakristo si watu wa visasi maana maandiko yameainisha wazi marufuku kulipiza visasi la sivyo mabaya hayataisha kukupata!
Wakristo wanaamini MwenyeEnzi Mungu ndiye Hakimu wa haki wa kujua kumlipa mtu aliyekosea!
Wakristo wanaamini ktk kupigwa shavu moja na kugeuza lingine lipigwe!
Hata hivyo mimi mpaka sasa sijaamua niwe wa dini gani maana baba yangu mzazi ni Muislam na mama ni mkristo.
Sasa bado naangalia badae nichague dini moja kati ya hizo mbili , bado najifunza mambo yao!
Tutamuuza tukimaliza wewe akilinjema unaingia sokoni.Gwajima hazuiliki
Njaa mbaya sana πππPamoja na Ulofa wako angalau Leo umenena la maana, Kwa niwajuavyo ndugu zangu wa kikatoliki watakua wanapandishwa katika majukwaa yake ya kampeni ili kumsafisha kwanza baada ya kupewa mlungula
Usitupangie kawe sisi ni Halima mdee.maaskofu wahuni huni hawana nafasi.Sizani kama Waislam wote wana nongwa ya kujali mambo madogo!
Kwamba Eti mtu akashikilie mihemko ya wahubiri au watoa mawaidha weeee!
Sasa nikuulize watoa mawaidha ya Kiislam huwa wanawazungumziaje wakristo?
Je wakristo nao wawe wanashikilia kauli hizo zikiwapo za kuwaita makafiri
Tuacheni nongwa za udini tushirikiane sisi sote ni waTZ , tuchague mtu atakaleta maendeleo yatakayoonekana kwa macho!
Tumchague mtu ambaye atashirikiana na serikali katika kutuletea maendeleo jimboni ambae ni Gwajima.
Halima wakati wote yeye kuendesha kesi zidi ya serikali Huyu kushirikiana na serikali kueleza kero za watu wa jimbo lake ni vigumu!
Viongozi wadini wabaki katika dini zao viongozi wakisiasa watumikie siasa zao. Narudia kukueleza hakuna muislam anaweza mchagua Gwajima, Halima pia nimkristo lakini waislam wako tayari kumchagua Halima maana hakuna mahala popote alipoikashifu dini yamtu mwingine. Au Mkristo yeyote atachaguliwa na waislam lakini sio yule anaesimama hadharani kutukashifu, mtu anaekashifu kabla hajapata madaraka,akipata itakuwaje?. kama mngehitaji hata hili lisizungumzwe basi mgeleta mgombea ambae hatoneshi nafsi zetu katka dini zetu. Mimi nimuislam na ntashawishi waislam wenzangu wakawe tumsichague Gwajima kwa sababu Gwajima nimdini na ameonesha chuki zake juu yetu waislam.
Usitupangie kawe sisi ni Halima mdee.maaskofu wahuni huni hawana nafasi.
Kuikashifu dini yetu kwako linaweza kuwa jambo dogo, lakini kwa muislam hakuna cheny thaman zaidi ya dini yake.
Haishangazi sana kwangu mimi. Hii ni matokeo ya ccm ya sasa. CCM sasa siyo taasisi tena, bali ni mali binafsi ya mtu binafsi anayeitwa John Joseph Pombe Magufuli. CCM ya Nyerere, japo alikuwa na influence kubwa sana, ilibaki kuwa Taasisi kamili, na hivyo iliwahi kufanya maamuzi ambayo Nyerere hakuyapenda lakini aliyapokea kwa kuwa yalikuwa maamuzi halali ya kikao.Kwa kweli sikutegemea chama Kili kingeweza kufanya makosa haya ya kumchagua mtu kama Gwajima! Kigeugeu! Mwenye cotroversies nyingi mno pamoja na matendo na lugha za kiajabu mno!
Kama dira ya ccm ya watu bora ni mfano huu basi inatia shaka ccm wana nia gani na nchi hii!
Kwako mkuu kuikashifu dini yetu waislam linaweza lisiwe Jambo la maana lakini sio kwetu sisi waislam, dini yetu kwanza Mambo mengine baadae. Kama huamini nayokueleza kuhusu Gwajima naomba tusubiri baada ya octoba 28 tutarud hapa, kama Jimbo lakawe atalichukua huyo muhuni anaechafua dini zawatu.Halahala usijedakwa wakati wa kuwashawishi ukaonekana unaleta uchochezi ukatiwa nguvuni!
Yani tunaweza kujadili yote hapa tukamaliza lakini ukweli ni kwamba jamaa hazuiliki!
Halafu tusijidanganye na mambo ya humu kwenye mitandao!
Wapiga kura wapo mtaani ambao wenyewe wanachotaka ni mtu wa kushirikiana na serikali kuleta maendeleo na siyo mihemko ya udini.
Ni wazi kuwa kuna kundi la watu waovu, Matapeli, wavamizi wa ardhi na maeneo ya watu tangu wasikie jina la Gwajima hawalali sababu wanajua mambo yao ya uovu yanakwenda kukoma .
Ndiyo maana wanakesha mitandaoni kwa kutafuta vijisababu visivyo na maana ili mradi wanazani itasaidia kumkomoa Gwajima lakini Gwajima hazuiliki!
Kwa hatua ilipofika jamaa hazuiliki!
Bora kuanza kumpenda na kushirikiana naye ili kuyajenga pamoja kama ambavyo tunapaswa kumpenda Magufuli na kumuunga mkono sababu naye hazuiliki!
We mzee upo ha ha ha ha ha naona umerudi tena, hizi ID za kila baada ya miaka mitano banaNjaa mbaya sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika mkuu RitzAskofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema, amemsamehe Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima alimtolea maneno makali kutokana na kutofautiana naye juu ya msimamo wa viongozi wa Kikristo kuhusu Katiba Inayopendekezwa
πππ
Angekuwa Sheikh angetukanwa matusi yote.
Sasa sisi ndio wananchi hatupangiwii. Kama mnampenda sana huyo gwajima kanyweni nae chai chamwinoWananchi hawapo after mtu fulani wao wapo after mtu atakaeshirikiana vizuri na serikali kuleta maendeleo!
Itakuwa ajabu sana kama siyo ujinga kwamba eti
Mtu uache kuchagua mtu atakaeshirikiana serikali kuleta maendeleo jimboni badala yake ukachague mtu ambaye atakuwa anaendesha kesi zidi ya serikali na kupoteza muda kwa miaka 5 ili hali maendeleo yanasuasua!
Haipaswi kuchagua kwa kumkomoa mtu fulani siyo Busara maana mwisho wa siku wananchi wanataka maendeleo na siyo mtu tu!