Ni utapeli tuHahahahahahaha eti anatembelea wheelchair na kuinuka ghafla kwamba 'Mungu' wake kamfanyia miujiza.
Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Hana sifa hata ya kushika au kugusa milango ya jengo la bunge huyoGwajima ni msanii hata kwenye porn industry yupo.
Tatizo la Gwajima kesha haribu sehemu zote kwa waislam kaharibu na kwa wakristu kaharibuMimi CCM, ila Gwajima hapana kabisaaa aiseee..
Nakubaliana na weweGwajima ni tapeli, haiwezekani kamwe kuichanganya dini na siasa hapa duniani, yani atoke kuongea propaganda kwenye mikutano ya kampeni halafu kesho yake aende kanisani kumtaja Mungu? hapana, huyu atakuwa anamtumikia mungu wa ulimwenguni sio aliyetuumba.
Wote matapeliKuhusu Gwajima na Makonda wala hata wakikunjana au wangekunjana mashati poa tu, wote wanatabia zinazofanana!
View attachment 1560055
Hakuna mwenye akili zake atakaye mpigia kura huyo mbaguzi wa diniWapiga kura wake wanajua hayo yote,wimbo wako ni zilipendwa.
Siyo msanii tu bali pia ni tapeli.Gwajima ni msanii hata kwenye porn industry yupo.
Huyu ni porn star,msukuma lakini ana miguno ya kimarekani.Gwajima ni msanii hata kwenye porn industry yupo.
Alivyo watukana waislam hukusikia?Nilivyoona heading nikajua ametukana tena.
Pengo alistahili kukabiliwa kwa kuwa alikuwa mnafiki. Alitumika sana kinafiki na serikali ya kina mkwere na Pinda
Khs Bashite ni wale wale tu.
JESUS IS LORD
Askofu wa wajinga huyu hafai hata kidogo.Anajiita kiongozi wa kiroho tena lakini kinywa chake kimejaa matusi na kashfa. Ni huyu huyu Gwajima aliye mshambulia Makonda Tena kwa kutumia madhabahu. Ni huyu huyu Gwajima aliyetoa Matusi makubwa akimshutumu Kadinali Pengo Tena ambayo hayakustahili kutolewa na kiongozi yeyote wa dini.
Gwajima hafai tena ni mzushi, nilimuona baada ya kutoka polisi alipokuwa akihojiwa kwa kumtukana Kadinali Pengo, alijifanya kuwa na maumivu yaliyo mpelekea kutumia baiskeli ya miguu miwili, lakini siku moja akiwa mbele ya wafuasi wake alinyanyuka ghafla kwa madai kuwa Mungu wake amemuona akiwa katika mateso hivyo amempatia nguvu na kusimama kutoka kwenye kiti huku akitembea hata bila ya kuchechemea.
Huyu jamaa ana kinywa kichafu hafaii kuwa kiongozi.
Akagombee koromomijeAskofu ataiba vipi? Ngwajima kashukiwa na roho mtakatifu akapewa kibali cha kuweza kuingia kwenye siasa aweze kuwapigania watu wa kawe
Unafiki kwako mwiko ee?Mimi CCM, ila Gwajima hapana kabisaaa aiseee..
Tukutane octber.Hakuna mwenye akili zake atakaye mpigia kura huyo mbaguzi wa dini
Sent using Jamii Forums mobile app
Asubirie uteuzi wa kutoka magogoniHuyu ni porn star,msukuma lakini ana miguno ya kimarekani.
Ubunge haumfai,atafutiwe kazi nyingine kama ile ya misukule imemshinda.
Vipi kwa musigwa hapo unasemaje au mama rwakatale hapo unasemaje au yule rais wa aliyeshinda wapi huko malawi kama sijakosea.Gwajima ni tapeli, haiwezekani kamwe kuichanganya dini na siasa hapa duniani, yani atoke kuongea propaganda kwenye mikutano ya kampeni halafu kesho yake aende kanisani kumtaja Mungu? hapana, huyu atakuwa anamtumikia mungu wa ulimwenguni sio aliyetuumba.
Kiufupi Gwajima hapaswi kupata kura yeyote hapo Kawe, hata mkewe hapaswi kumpigia kwani ni msaliti wa ndoa yake.
Wale hawakuwatukana maaskofu wenzao wala hawakuwa afya waislam.....okVipi kwa musigwa hapo unasemaje au mama rwakatale hapo unasemaje au yule rais wa aliyeshinda wapi huko malawi kama sijakosea.