Anajiita kiongozi wa kiroho tena lakini kinywa chake kimejaa matusi na kashfa. Ni huyu huyu Gwajima aliye mshambulia Makonda Tena kwa kutumia madhabahu. Ni huyu huyu Gwajima aliyetoa Matusi makubwa akimshutumu Kadinali Pengo Tena ambayo hayakustahili kutolewa na kiongozi yeyote wa dini.
Gwajima hafai tena ni mzushi, nilimuona baada ya kutoka polisi alipokuwa akihojiwa kwa kumtukana Kadinali Pengo, alijifanya kuwa na maumivu yaliyo mpelekea kutumia baiskeli ya miguu miwili, lakini siku moja akiwa mbele ya wafuasi wake alinyanyuka ghafla kwa madai kuwa Mungu wake amemuona akiwa katika mateso hivyo amempatia nguvu na kusimama kutoka kwenye kiti huku akitembea hata bila ya kuchechemea.
Huyu jamaa ana kinywa kichafu hafaii kuwa kiongozi.