Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

Gwajima ni tapeli, haiwezekani kamwe kuichanganya dini na siasa hapa duniani, yani atoke kuongea propaganda kwenye mikutano ya kampeni halafu kesho yake aende kanisani kumtaja Mungu? hapana, huyu atakuwa anamtumikia mungu wa ulimwenguni sio aliyetuumba.
Nakubaliana na wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anajiita kiongozi wa kiroho tena lakini kinywa chake kimejaa matusi na kashfa. Ni huyu huyu Gwajima aliye mshambulia Makonda Tena kwa kutumia madhabahu. Ni huyu huyu Gwajima aliyetoa Matusi makubwa akimshutumu Kadinali Pengo Tena ambayo hayakustahili kutolewa na kiongozi yeyote wa dini.

Gwajima hafai tena ni mzushi, nilimuona baada ya kutoka polisi alipokuwa akihojiwa kwa kumtukana Kadinali Pengo, alijifanya kuwa na maumivu yaliyo mpelekea kutumia baiskeli ya miguu miwili, lakini siku moja akiwa mbele ya wafuasi wake alinyanyuka ghafla kwa madai kuwa Mungu wake amemuona akiwa katika mateso hivyo amempatia nguvu na kusimama kutoka kwenye kiti huku akitembea hata bila ya kuchechemea.

Huyu jamaa ana kinywa kichafu hafaii kuwa kiongozi.
Askofu wa wajinga huyu hafai hata kidogo.
 
Gwajima ni tapeli, haiwezekani kamwe kuichanganya dini na siasa hapa duniani, yani atoke kuongea propaganda kwenye mikutano ya kampeni halafu kesho yake aende kanisani kumtaja Mungu? hapana, huyu atakuwa anamtumikia mungu wa ulimwenguni sio aliyetuumba.
Vipi kwa musigwa hapo unasemaje au mama rwakatale hapo unasemaje au yule rais wa aliyeshinda wapi huko malawi kama sijakosea.
 
Alivyo watukana waislam hukusikia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiufupi Gwajima hapaswi kupata kura yeyote hapo Kawe, hata mkewe hapaswi kumpigia kwani ni msaliti wa ndoa yake.

Khs kutukanwa waislamu sijasikia, japo waisilamu nao wanapaswa wamwamini Yesu kuwa ni Neno la Mungu . Wasiishie kwenye shahada ya pili, wafike ya tatu. Kwamba Yesu ni Nabii, ni Mtume, ni Roho, na ni Neno.
 
Vipi kwa musigwa hapo unasemaje au mama rwakatale hapo unasemaje au yule rais wa aliyeshinda wapi huko malawi kama sijakosea.
Wale hawakuwatukana maaskofu wenzao wala hawakuwa afya waislam.....ok
 
Back
Top Bottom