Research imefanywa na Eagle house, na Mzee hapinduwi kwa wale jamaa, wamemsaidia sana na anawaamini sana.Nawalaumu sana 'Research Team' ya CCM kwa Kushindwa Kwake 'Kumshauri' vyema Mwenyekiti Taifa Rais Magufuli juu ya hili. Ninaogopa mno tu!
Ngwajima ana mambo matano anapaswa ayajibu kabla hajaenda jukwaani angalau tupate nafasi ya kumsikiliza.
1....Ukabila alioonyesha kwenye Video yake
2....Kuwa na chuki na Waislam na wakatoliki
3....Kufanya mapenzi kiholela No care
4....Alituaminisha hataki nafasi Za kisiasa
5....Ubadhirifu kwenye taasisi anayoingoza
Tunajua amejiandaa sisi wapiga kura mtulishe maneno tukafanye yetu , Wajumbe walishamaliza
Labda wale wakatoliki hoho wachumia matumbo, wale wenyewe huwa wana misimamo yao inayojulikanaPamoja na Ulofa wako angalau Leo umenena la maana, Kwa niwajuavyo ndugu zangu wa kikatoliki watakua wanapandishwa katika majukwaa yake ya kampeni ili kumsafisha kwanza baada ya kupewa mlungula
Hivi mnaposema Kawe ni jimbo la wasomi huwa mnatumia vigezo gani?Yaani Jimbo la wasomi kabisa wampigie kura tapeli wa kiimani , mjasiria dini mchumia tumbo ,opportunist,chawi, shirikina ,mcheza filamu za utupu na waumini wake a.k.a Kondoo wake.
Ahahahh,eti Gwajima is a jokeYaani hapo mkuu mimi ndiyo nimekua serious kwa viwango cha Pi echi dii😁😁.
Halafu huwa sikwaziki na majibu yako, huwa nacheka tu.
Kingine huyo Gwajima mwenyewe uliyemfungulia uzi is just a joke, sasa naanzaje kuwa serious!
Kiujumla wale wasomi wa lile jimbo wanajielewa sana tuwape mudaSina tatizo nae kivile japo tu hapo katika 'Kumshambulia' Kadinali Pengo Mkatoliki Mwenzangu 'amenikera' ila 'Waislamu' wa Kawe wana Hasira nae.
Sisadiki sana usemayo ndugu, ila nataka nikukumbushe tu jambo moja. Jimbo la Kawe naweza kusema ndilo jimbo ambalo linakaliwa na Vibopa wa Biashara Kubwa kwa Tanzania, hivyo ili wafanye biashara zao vizuri wanaona ni bora wajivike viremba vya usisiem bila kupenda ili mambo yao yasonge. Isingekuwa hivyo, ungeshangaa mwenyewe kila kukicha CCM wanavyochakazwa.Ukiachia mbali tu la Ukatoliki, ila Mkuu hakuna Jimbo lenye wana CCM 'Wanafiki' kama la Kawe. Gwajima na CCM yake wanaweza wasiamini kabisa.