Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Mwenye ile clip ya Halima akimtishia mgombea urais 2015 kuwa "akipiga push up tena watamuitia Juma Nyoso" aiweke hapa. CCM wameleta jeshi la mtu mmoja bingwa wa kurusha maneno ili waone kama Halima atapita kwa "mitusi" yake! Naona wana kawe ni wapenzi wa MIPASHO hahahah!