n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Hujui usemalo, ni bora ungekaa kimya.Kwa jinsi kashfa za utapeli, uongo, mambo mbali mbali zinazo ibuliwa kwa mgombea wao hata kabla ya kampeni kuanza wamesha ona walifanya papara kumpitisha Gwajima.
Sasa hivi yale mambo ya kufufua watu, kumtukana Askofu Pengo, picha za ngono na kubadili madrasa za kiislamu kuwa Sunday schools ndio yanaibuliwa kwa nguvu sana hakuna mfano na muda wa kumsafisha hakuna.
Ni bora hata wangempitisha mwenzetu Pascal Mayalla asiye na kashfa
Huenda Pengo na waislamu walishamsamehe Gwajima hivyo hayo yameshapita, sasa tunaganga yajayo.
Kila laheri Askofu Gwajima na wagombea wengine wote.
Waache ujingaKwa jinsi kashfa za utapeli, uongo, mambo mbali mbali zinazo ibuliwa kwa mgombea wao hata kabla ya kampeni kuanza wamesha ona walifanya papara kumpitisha Gwajima.
Sasa hivi yale mambo ya kufufua watu, kumtukana Askofu Pengo, picha za ngono na kubadili madrasa za kiislamu kuwa Sunday schools ndio yanaibuliwa kwa nguvu sana hakuna mfano na muda wa kumsafisha hakuna
Ni bora hata wangempitisha mwenzetu Pascal Mayalla asiye na kashfa
Sijui huyu ndugu na rafiki yetu anakwama wapi?Ni bora hata wangempitisha mwenzetu @Pascal Mayalla asiye na kashfa
Kwa hiyo ndugu yangu na utu uzima huo unaamini Gwajima anaweza kuufuta Uislamu?Waislamu hatumtaki gwajiboi kawe anampango wa kuufuta uislamu kwa kubadili madrasa kuwa sunday school.
[SUP]Umesahau kuwa mna na tume? Bado mwaweza kutangaza ndivyosivyo![/SUP]Waache ujinga
Wanajifanya kama hawajui zile mbinu zetu za kuiba kura au zile za kuingiza masunduku ya kura ambazo zimeshapigwa.
Ccm tuna jeshi
Ccm tuna polisi
Ccm tuna mabunduki
Ccm tuna mabomu
Ccm tuna kila kitu
Hivi nyinyi
Wapinzani mna nini cha kujivunia.
Msipotupa kura zenu , tutaziiba kwa mabavu.
Na hatushindwi kutumia mtutu wa bunduki katika kulazimisha ushindi.[SUP]Umesahau kuwa mna na tume? Bado mwaweza kutangaza ndivyosivyo![/SUP]
Ccm hapo wamebugi jimbo lenye wakazi wenye imani tofauti za dini mnamsimamisha kiongozi wa dini moja mnategemea ushindi kwl???labda kwa mtutu......
Hv unafikiri waislamu na waumini wa dini zingne watampa kura Gwajima????Kwa ni Halima mdee ni kiongozi wa Nguruwe? Hahahah
Sasa nimeanza kuamini Halima mdee kapata saizi yake!