Uchaguzi 2020 Sijui Gwajima atatumia Sabuni gani ya 'Kuwatakatisha' Waislamu wa Kawe 'aliowadhihaki' na 'Wakatoliki' waliokwazika naye 'alipomshambulia' Pengo

Sheria sasa inatufunga,hatuwezi kubadili gear angani!Dah,hii ya mwaka.
 
Kwa ni Halima mdee ni kiongozi wa Nguruwe? Hahahah

Sasa nimeanza kuamini Halima mdee kapata saizi yake!
Baba tupia lile dude Gwajiboy anakaja maunoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

CCM sijui mmewachukuliaje wana Kawe mwaka huu?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimekuwa nasema marakwamara humu jf kwamba viongozi wa kitaifa wajifunze kutunza kauli zao hawasikii, pia uwamuzi wowote utakaoufanya maishani mwako utawajiba nao.'Public figures have to keep their words and that any decision you make in life You are responsible for it'
 
Yaani wanna kawe mnatudharau Sana mnatuletea mgombea wa wa hivi kabisa.

 
Kwa hiyo ndugu yangu na utu uzima huo unaamini Gwajima anaweza kuufuta Uislamu?
Hawezi kufuta uisalam lakini atacreate unnecessary constraints within kawe community kwa kujaribu kutimiza lengo Lake la kufuta uisalam.
 
Leo kwenye jumuiya tumeshaanza kupewa maelekezo ya namna ya kumtawanya huyu porn star.

Baraza la Walei limeshaanza kusabambaza ujumbe Kawe nzima.
 
Alimshambulia Askofu Pengo kama mtu binafsi, lakini alijidai hatambui mamlaka ya Askofu Pengo kikanisa, na alimtukana, mjinga na mpumbavu.
Gwajima hakutukana, alisema ukweli kuhusu mwenendo wa ukigeugeu wa Askofu Pengo! kuwa ''ameaibisha Kanisa Katoliki ambalo linaheshimika Duniani alisema ''wenzako wanatoa maamuzi pengo analewalewa kama mtoto mdogo'' ina maana aliwageuka maaskofu wenzake kuhusu msimamo wa Mahakama ya Kadhi!

Tatizo sas baadhi ya watanzania wasio wakatoliki wana vi herehere vya kum-hukumu Gwajima ndivyo sivyo wanavyo dhani kuwa ni sahihi kwa upande wao. wanakuza mambo! ili Gwajima aukose Ubunge.

Wakatoliki ni waelewa sana kuliko Madhehebu yote, RC wote mpaka Vatican waliamini ''Pengo aliwaaibisha'' Papa kaona isiwe tabu aliruhusu serikali wamuachie Gwajima asibughudhiwe aheshimiwe, na pengo alistaafishwa kwa manufaa ya kanisa. yuko wapi leo umewahi kumsikia tena?

Kama Gwajima alitukana mbona pengo hakutia neno wala kujibu shutuma? hapa pengo alikubali maneno ya Gwajima kuwa yuko sahihi mpaka akasataafu km alivo agizwa na Gwajima. nam nukuu ''ondoka mzee! kalale zako mzee, umechoka mzee.... na kweli kalala mpaka saa hii amelala. km hajalala nampa saa 5 anijibu hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…