Nataka tutambue sasa ni aina gani ya wanawake tulio nao kizazi cha leo chukua somoHili si jambo zuri kulianika hapa,huu ni utoto mkuu
Nataka tutambue sasa ni aina gani ya wanawake tulio nao kizazi cha leo chukua somoKula kimya kimya acha kutangaza, mwenzako anakutunuku wewe unatangaza.
Siyo utoto mkuu kutahadharisha nakukumbusha watu. Sasa iyo ndo ndoa gani?Hili si jambo zuri kulianika hapa,huu ni utoto mkuu
Na aligongewa kichizi. Pia Mudi alikuwa na wanne na aligongewa kama kawa. Mungu wetu kipenzi Yesu mjanja.Nabii suleiman alikuwa na wanawake 700, sio kwamba alioa wengine alikuwa anato-mba tu, kwahiyo na wewe to-mba tu, usiwaze si kataka mwenyewe
๐๐๐๐๐๐
Duuh..Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa๐๐ mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.
Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako๐๐๐
View attachment 2978369
Pole nyingi sana kwa mwanaume mwenzangu aliyeamua kufuga kichecheWakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa๐๐ mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.
Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako๐๐๐
View attachment 2978369
Hivi wanaume wa JF mnapiga pisi kali tu? Sijawahi kusoma popote mtu kaandika amepiga pisi mbovuNi mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Kugongewa ni kawaida tu ๐๐๐ misingi ni heshima tu.Na aligongewa kichizi. Pia Mudi alikuwa na wanne na aligongewa kama kawa. Mungu wetu kipenzi Yesu mjanja.
hydroxo
Nishapiga sana mkuu ndo siku nikafikiria kuwa nacho mfanyia mwamba sio fresh kabisa nikaamua kumkataa dem ila haelewi somoDuuh..
Huyo mwamba mwenye mke atapata tabu sana. Hapo hakuna mke.
Afadhali usile huyo mke wa mtu dogo
Sijakupata mkuu mimi sio mrisho mpotoulikutanaye kweny pub afu mwanamke mwenye mzuri balaa afu apo apo hujui kama utaoa au la siku jaribu kuweka viganja vyako vya mikono kweny moto kama dakika mbili afu ukitoa tu jimwagie asali weka mikono ipigwe na baridi dakika moja afu lamba ile asali nakuakishia kwa ule utamu utakao upata lazima urudi tena kuchoma mikono kweny moto.
Kwa upande wangu mimi kaka pisi zangu huwa zimenyooka sijui wenzanguHivi wanaume wa jf mnapiga pisi kali tu? Sijawahi kusoma popote mtu kaandika amepiga pisi mbovu
Siyo pisi kali tu bali njemba za hapa zote zina maisha mazuri zinasukuma Range Rovers na zina ma apartments Masaki na kwingineko. JF siyo ya Watanzania wa kiwango cha chini! ๐๐๐ฎHivi wanaume wa jf mnapiga pisi kali tu? Sijawahi kusoma popote mtu kaandika amepiga pisi mbovu
Ni huyu uliekutana naye tu mkuu , sio wote wanayo roho hio unayoifikiria..Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa๐๐ mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.
Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako๐๐๐
View attachment 2978369