Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lenyewe Mswati halafu unategemea nini? Fisi kashiba.Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa👇👇 mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.
Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako👇👇👇
View attachment 2978369
Halafu unajiona kidume kweli....kwamba kwako ndo kafika...? Man tulizana mke wa mtu sio jambo la kujivunia ni hatariWakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa[emoji116][emoji116] mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.
Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2978369
Hivi huwa husomi nyuzi kibao humu jf kuhusu tabia kama hizi zinazofanywa na wanawake.Ni huyu uliekutana naye tu mkuu , sio wote wanayo roho hio unayoifikiria..
Halafu wote jf tunapigaga show za kibabeHivi wanaume wa jf mnapiga pisi kali tu? Sijawahi kusoma popote mtu kaandika amepiga pisi mbovu
Humu si mnaangalia chur*mkuu, pambaneni pambaneni mpaka akili iwakae sawaHivi huwa husomi nyuzi kibao humu jf kuhusu tabia kama hizi zinazofanywa na wanawake.
Wanaume mabwege wanapenda sana kujifariji eti ni huyu tu!
Kila uchao ni habari za watu wakilalamika kuhusu ukosefu wa uaminifu ktk ndoa halqfu wewe unasema ni huyu tu.
Dogo huyo demu mbona kakuzidi akili hivi.....hapa mjini ushamba utakumaliza. Ulihukua wanaojiuza ila akataka usimsumbue pia kujilindia heshima akakudanganya ameolewa.pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Ndio ujue ni stori za uongo usichukulie serousHivi wanaume wa jf mnapiga pisi kali tu? Sijawahi kusoma popote mtu kaandika amepiga pisi mbovu
Wanaume wa jf wanaamini pisi mbovu zipo jf. Ukiona mwanaume anakiri kakutana na pisi mbovu lazima iwe wamekutana Jf.Hivi wanaume wa jf mnapiga pisi kali tu? Sijawahi kusoma popote mtu kaandika amepiga pisi mbovu
Wakuu habari za jioni? Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.
Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa👇👇 mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.
Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako👇👇👇
Pole saana
Kwamba huyo mwanamke mmoja mjinga asiyejitambua na kuheshimu ndoa yake ndiyo representative sample yako uliyoitumia kufikia hitimisho lako la jumla kuwa wanawake wa siku hizi ni wa hovyo na kwamba hawafai kuolewa? 😳😳😳
Sikia kijana mimi mke wa mtu huwa sidet nae kizembe lazima file lake liwe mezani kwangu toka alipo zaliwa usifikir ufala ulio nao wewe ndo kila mtu anaoDogo huyo demu mbona kakuzidi akili hivi.....hapa mjini ushamba utakumaliza. Ulihukua wanaojiuza ila akataka usimsumbue pia kujilindia heshima akakudanganya ameolewa.
Ni hatari kwa afya love
JF wote humu ni mabosi wakubwa sana hapa tzSiyo pisi kali tu bali njemba za hapa zote zina maisha mazuri zinasukuma Range Rovers na zina ma apartments Masaki na kwingineko. JF siyo ya Watanzania wa kiwango cha chini! 😁😁🚮
Aisee mme nikosea Sana😁, mbona jobless pro max nipo 🤒.Siyo pisi kali tu bali njemba za hapa zote zina maisha mazuri zinasukuma Range Rovers na zina ma apartments Masaki na kwingineko. JF siyo ya Watanzania wa kiwango cha chini! 😁😁🚮
Wote wakiweka visa vinavyowakatisha tamaa wasio,humu kutajaa,usidhani mmoja kumuanika mwanamke asiyefaa,ukadhani ni huyo mwanamke tu,ukute mkeo jamaa aliyemla leo,hajaandika humu,kaona uvivu.Kwamba huyo mwanamke mmoja mjinga asiyejitambua na kuheshimu ndoa yake ndiyo representative sample yako uliyoitumia kufikia hitimisho lako la jumla kuwa wanawake wa siku hizi ni wa hovyo na kwamba hawafai kuolewa? 😳😳😳
Ukitangaza kazi ya laki tatu mshahara kwa mwezi wanavyojaa sasa inbox sio wale tena wanaopush rangeSiyo pisi kali tu bali njemba za hapa zote zina maisha mazuri zinasukuma Range Rovers na zina ma apartments Masaki na kwingineko. JF siyo ya Watanzania wa kiwango cha chini! 😁😁🚮