kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Mimi kila anachokisema huyu bwana huwa nakitupa kwenye dastubi[emoji706][emoji706]
Huyu mtu huwa simuamini hata chembe
Je, ni mimi mwenyewe?Huwa ni ngumu sana kumuamini huyu jamaa?
Kuna chapisho moja niliona akisaini mkataba wa gesi wa trilioni 93 nikasema mhhhhh!
Sijui kwanini huwa simuamini January aisee?
Huyu mtu huwa simuamini hata chembe
Je, ni mimi mwenyewe?Huwa ni ngumu sana kumuamini huyu jamaa?
Kuna chapisho moja niliona akisaini mkataba wa gesi wa trilioni 93 nikasema mhhhhh!
Sijui kwanini huwa simuamini January aisee?