Sijui kwanini huwa simuamini January Makamba

Sijui kwanini huwa simuamini January Makamba

Ndugu paskali ni chawa asee [emoji1783][emoji1787][emoji1787]
Mkuu Mwalimu wa tuisheni , kuniita mimi chawa ni kunitukana!.
Please usinitukane mimi chawa, mimi sio chawa!.
Nimejitahidi sana kuelimisha watu humu tofauti ya wasifiaji wa uchawa na wasifiaji bonafide genuine
Somo hili nililianza toka enzi za JPM Kati ya wakosoaji wa Rais Magufuli na Serikali yake, na wasifiaji nani wanamsaidia zaidi? Ijue nafasi ya JamiiForums

Mama alipoingia akaja na mkwala wa tukimkuna vizuri atatukuna ila tukimpara atatuparura Uhuru wa Habari Tanzania: Kati ya Waparaji na Wakunaji Wazuri, Nani Watamsaidia Zaidi Rais Samia?. Tunakuomba Mama, Usiwaparure Waparaji!.

Mimi sio chawa Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
 
Mimi kila anachokisema huyu bwana huwa nakitupa kwenye dastubi[emoji706][emoji706]

Huyu mtu huwa simuamini hata chembe

Je, ni mimi mwenyewe?Huwa ni ngumu sana kumuamini huyu jamaa?

Kuna chapisho moja niliona akisaini mkataba wa gesi wa trilioni 93 nikasema mhhhhh!

Sijui kwanini huwa simuamini January aisee?
Kwa sababu una chuki zako binafsi
 
Mimi kila anachokisema huyu bwana huwa nakitupa kwenye dastubi[emoji706][emoji706]

Huyu mtu huwa simuamini hata chembe

Je, ni mimi mwenyewe?Huwa ni ngumu sana kumuamini huyu jamaa?

Kuna chapisho moja niliona akisaini mkataba wa gesi wa trilioni 93 nikasema mhhhhh!

Sijui kwanini huwa simuamini January aisee?
Hata mimi ni hivyohivyo aisee. Huyu mtu simuamini kila anachofanya.
 
Mimi kila anachokisema huyu bwana huwa nakitupa kwenye dastubi[emoji706][emoji706]

Huyu mtu huwa simuamini hata chembe

Je, ni mimi mwenyewe?Huwa ni ngumu sana kumuamini huyu jamaa?

Kuna chapisho moja niliona akisaini mkataba wa gesi wa trilioni 93 nikasema mhhhhh!

Sijui kwanini huwa simuamini January aisee?
Ni rahisi Kwangu kumuamini Mwizi kuliko Mwanga / Mchawi katika Maisha yangu.
 
Mkuu Mwalimu wa tuisheni , kuniita mimi chawa ni kunitukana!.
Please usinitukane mimi chawa, mimi sio chawa!.
Nimejitahidi sana kuelimisha watu humu tofauti ya wasifiaji wa uchawa na wasifiaji bonafide genuine
Somo hili nililianza toka enzi za JPM Kati ya wakosoaji wa Rais Magufuli na Serikali yake, na wasifiaji nani wanamsaidia zaidi? Ijue nafasi ya JamiiForums

Mama alipoingia akaja na mkwala wa tukimkuna vizuri atatukuna ila tukimpara atatuparura Uhuru wa Habari Tanzania: Kati ya Waparaji na Wakunaji Wazuri, Nani Watamsaidia Zaidi Rais Samia?. Tunakuomba Mama, Usiwaparure Waparaji!.

Mimi sio chawa Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Nimeelewa mkuu, nisamehe kwa hilo tusonge mbele
 
Ni rahisi Kwangu kumuamini Mwizi kuliko Mwanga / Mchawi katika Maisha yangu.
Hujakosea anatoka chini, wale huruma, Imani hawakujaaliwa.

Yuko radhi kufanya lolote kumridhisha mkuu wao Kutoka deep down.

Yana mwisho lakini.
 
Back
Top Bottom