Makamba hana sifa ya kuwa kiongozi nikupe taarifa hiyoKwanza pole yako!.
Ombi langu kwako ni ujifunze kusikiliza!.
Anzia hapa
P
- January Makamba live! Ndani ya Mikasi EATV!. Watch Now!
- January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in Tanzania!
- January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
- Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity
- Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
- Kuna kitu kikubwa wengi hawakijui kuhusu 2025, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke jee unamjua huyo mtu wa 2025?. Asipokuwa Dr.HM then ni JM!.
He is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewaMakamba hana sifa ya kuwa kiongozi nikupe taarifa hiyo
Kwanza ni selfish, mpigaji, fisadi, na kanjanja wa madili.....
Nikuulize tu toka amekua waziri wa nishati kaleta outputs gani kwenye umeme au wizara yote?
Mnamkuza sana but he is good for nothing.......
Huyu jamaa ni asset. Watajaribu sana kumchafua lakini kama amepangwa kuja kuwa Rais wa Tanzania atakuwa. Mfano hapo huyu jamaa kasema madili, muulize dili lipi? Kajenga uwanja kwao? Kajenga apartments mji mzima huu? Au kama kambale wao alivyomjengea kimada hoteli mwenge.He is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewaTake it from me, this fellow can make the best president this country has ever had!.
Bahati mbaya sana wengi wetu wana macho ya nje, hivyo wanamchagiza Samia for 2025, sisi wenye jicho la tatu la ndani ndio tunamsaidia Samia kiukweli zaidi kwa kushauri the right thing to do 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo kama sio HM then ni JM, 2030 ndipo aje TA!.
P
Makamba hamna kitu. Kama huyo ndiye statesman wa Tanzania, basi nchi yote ni jalala la nzi. Statesman ni mtu anayejali interests za state siyo anayefurahisha watu kwa lugha za kubembeleza kudanganyadanganya. Serikali yoyote ni chombo cha mabavu; fuata sheria au kuwa tayari kuadhibiwa. Huo siyo unyampala bali ndiyo hivyo serikali inavyofanya kazi. Serikali ya kubembeleza na kulishana kwa urefu wa kamba siyo serikali, na kubembeleza siyo ustatesman.He is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewaTake it from me, this fellow can make the best president this country has ever had!. The problem with we Tanzanian, kutokana na ule ujinga fulani, naomba nisiutaje, we never pick the best!.
Bahati mbaya sana wengi wetu wana macho ya nje, hivyo wanamchagiza Samia for 2025, sisi wenye jicho la tatu la ndani ndio tunamsaidia Samia kiukweli zaidi kwa kushauri the right thing to do 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo kama sio HM then ni JM, 2030 ndipo aje TA!.
P
Kweli akili ni nywele kila mtu ana za kwake! Mikamba kabisa ndie statesman??? 😂He is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewaTake it from me, this fellow can make the best president this country has ever had!. The problem with we Tanzanian, kutokana na ule ujinga fulani, naomba nisiutaje, we never pick the best!.
Bahati mbaya sana wengi wetu wana macho ya nje, hivyo wanamchagiza Samia for 2025, sisi wenye jicho la tatu la ndani ndio tunamsaidia Samia kiukweli zaidi kwa kushauri the right thing to do 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo kama sio HM then ni JM, 2030 ndipo aje TA!.
P
Umeniwahi.Could it be;
1. Anabebwa na mbeleko ya connection ya mzee ikulu. Uwezo wake ni mdogo.
2. Aliiba mtihani wa form 4 akafutiwa na matokeo kabisa.
3. Ni memba wa ka sindiketi alikokasema hayati JPM.
4.
linakera hili lizeee,yaani umeme sasa hivi umekuwa kirusi alafu lenyewe linakuja kutetea ujinga,alafu huwa linajikuta great thinker kumbe chawa(toady,sycophant) mkubwaNnachoona bw. Paskali anazeeka vibaya
-Utawala wa jiwe aliwasifia sana kina polepole,bashiru,sabaya,mnyeti, makonda na timu yote ya jiwe.
-utawala huu uko bega kwa bega na msoga team na walamba asali ambao Utawala wa jiwe ulisema ni majizi hawafai
MkuuHe is a statesman!, kiukweli baada ya Tanzania kuongozwa na nyapara, watu wamezoea kuswagwa, anapotokea a statesman, watu wananuona weak, hebu msikilize hapa kwenye smart objectives zake ndio utaelewaTake it from me, this fellow can make the best president this country has ever had!. The problem with we Tanzanian, kutokana na ule ujinga fulani, naomba nisiutaje, we never pick the best!.
Bahati mbaya sana wengi wetu wana macho ya nje, hivyo wanamchagiza Samia for 2025, sisi wenye jicho la tatu la ndani ndio tunamsaidia Samia kiukweli zaidi kwa kushauri the right thing to do 2025 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke, hivyo kama sio HM then ni JM, 2030 ndipo aje TA!.
P