Sijui kwanini huwa simuelewi Vanessa Mdee?

Sijui kwanini huwa simuelewi Vanessa Mdee?

Pamoja na umaarufu wake na ukubwa wa jina lake lakini huwa nyimbo za Vanessa Mdee huwa sizielewi kabisa...yaani hata ukiniuliza sasa hivi kama kuna nyimbo yake naiujua wala siwezi kukuambia manake hazinaga ujumbe unaoeleweka...nikifananisha na akina Nandy , Linah, Maua Sama,Lady JD na mademu wengine....nimejaribu kuzipenda nyimbo zake lakini huwa haziningii akilini kabisa....sijui ni uzee au ushamba?Kama kuna anaye muelewa naomba mnisaidie kiushauri ili nipende nyimbo zake...
Yeye na mwenzake wote wanahangaika tu....bora waache
 
mie anavyovaa ndio simuelewi,nyimbo anajua kuimba ila tangia atoe ile ya nobody like you sidhani kama kuna hits nyingine kutoka kwake..
ile ilikuwa ni viwango vikubwa mnoo .. but chorus idea ile ni sample ameiga toka kwenye wimbo mmoja wa zamani sana .. msanii aliyeimba nimemsahau jina lakini uki search you tube unaikuta
 
Vanessa ana hit song moja tu ..Hawajui
Humu wengi ni bendera fuata upepo na maboya ndiyo wanamsifia sababu ya promo zake ...ukiwauliza wataje nyimbo kali za huyu demu halafu wamlinganishe na hao wengine wanabwabwaja tuuu...
 
Vanessa ni promo tuu na kuuza ngada .... ndo vinamweka mjin, ila hamna anachokifanya kwenye mziki....bora ahamie kwenye uanamitindo....kichwa ni Maua sama..kinakosa proper management
....Umesema kweli 100%......anajipigia debe sana huyu demu lakini ukiwauliza wanaomshabikia ni nyimbo gani kali ukilinganisha na mademu wengine , hawana majibu
 
eti "i wanna make you sweat sweat wet wet"
sipendi mwanamke anayenitishia amani.
baadhi ya nyimbo zake ziko vizuri kama ile nobody like you
Ha haaa we mjamaa bana
 
Najua baadhi ya mademu wengi hapa Tz hawampendi vanessa coz ana swagger za mbele ...na wengi wao umri umeenda
 
Back
Top Bottom