Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa inakuwa hivyo kwa sababu ndivyo ilivyoMtu akiwa kwenye mipango ya ndoa
Au ukiwa kwenye ndoa
Ndo sasa unaanza kuona wanawake wazuri
Na kupendwa na wale ambao walikukataa kipindi cha nyuma hapo
Eee Mungu naomba unisaidie hili ni jaribu kubwa
Ndoa ni taasisi inayowindwa na adui kabla na baada. Hizo ni miongoni mwa mbinu zake!Mtu akiwa kwenye mipango ya ndoa
Au ukiwa kwenye ndoa
Ndo sasa unaanza kuona wanawake wazuri
Na kupendwa na wale ambao walikukataa kipindi cha nyuma hapo
Eee Mungu naomba unisaidie hili ni jaribu kubwa
Hili nilidhan ni Mimi pekee ndiyo linaniface. Mimi kuona wanawake wazuri siyo Sana ila nimekuwa nasumbuliwa Sana na wanawake niliowahi kudate nao ama waliowahi kunikataa.[emoji28][emoji28][emoji28]Mtu akiwa kwenye mipango ya ndoa
Au ukiwa kwenye ndoa
Ndo sasa unaanza kuona wanawake wazuri
Na kupendwa na wale ambao walikukataa kipindi cha nyuma hapo
Eee Mungu naomba unisaidie hili ni jaribu kubwa
Hata utopolo wanakuona ngada 😅Hata mimi nikipata demu anaenipenda tu.... Napata influx ya wachumba shobo nazi mobu...
Lakini tukibwagana na nikiwa singo... Mmmh!!! Intensive scarcity.... Yani hata wale utopolo wananiona mimi njenje dah!
@kwisha kabisaMtu akiwa kwenye mipango ya ndoa
Au ukiwa kwenye ndoa
Ndo sasa unaanza kuona wanawake wazuri
Na kupendwa na wale ambao walikukataa kipindi cha nyuma hapo
Eee Mungu naomba unisaidie hili ni jaribu kubwa