Sijui kwanini nimeumia hivi

Uko MBINGA?
 
siku nying sana nilikuwa natafuta mke mwema sasa ni dhahiri nimempata Leejay49 fanya uje tutafute hao children
 
Pole sana, huyo rafiki yako fake! Alijua kabisa wewe ni mtu mwenye roho nzuri na itakua rahisi sana kukutumia... ni mbaya sana dunia ya leo watu wenye nia njema kutumiwa for other's benefits. Inaumiza sana ila chukulia kama ushujaa sio udhaifu ni wachache sana duniani wenye mioyo kama wako. Cha kufanya we mliye buyu tu, next time atakuja tena ila usirudie makosa.
 
Jifunze

Jifunze haya mambo

Source
Giver
Taker

Ukielewa haya mambo you will be disappointed .

Shukrani kubwa ambayo unabidi kuipata ni kuhakikisha umegusa maisha ya MTU in positive way .

ntarudi Ahsante.
 
Mbona kama kuna dalili huwa una mtongozA afu design demu nahisi hakupendi anakulia tu hela zAko...... najua umeandika msaada ila kama mwana saikolojia inaoneka unajitoa ila umgonge sasa mambo yameenda mlama.......

Dem asipokupenda ndo walivyo mkuu
 
Mimi nadhani tatizo ni wewe, sio huyo rafiki yako.

Msaada hasa wa matibabu ni spiritual and goal oriented. Ulipotoa msaada ulikua unalenga mtoto apone. Wewe mwenyewe umeshiriki matibabu na umejiridhisha kuwa ametibiwa, kiimani umeshapata baraka na malipo kwa Mungu. Inatosha. Sasa kama unataka ushukuriwe Na upostiwe, basi wewe hukutoa msaada kwa mtoto.

be thanksful, mtoto amepona.
 
Ahaha oya, huyu inaonekana ni manzi, sio msela, sasa usije nambia umewaza kwamba wana mumunyana visimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…