mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Mpotezee Tu,ningekua Mimi pia ningekua.Nisinheumia kwa sababau kaweka status walomsaidia,ningeumia zaidi kwa kutoka hosp.kimya kimya Bila kunitaarifu.Binadamu hatulingani ila ulivoliweka hapa umepata relief.Kabla ya kwenda nilimpigia karibu mara5 nzima na nilianzia kwenda nyumbani ili nijue kama waliruhusiwa au laah, sikuwakuta ndio nikaenda na hospitali nako sikuwakuta