Mpotezee Tu,ningekua Mimi pia ningekua.Nisinheumia kwa sababau kaweka status walomsaidia,ningeumia zaidi kwa kutoka hosp.kimya kimya Bila kunitaarifu.Binadamu hatulingani ila ulivoliweka hapa umepata relief.Kabla ya kwenda nilimpigia karibu mara5 nzima na nilianzia kwenda nyumbani ili nijue kama waliruhusiwa au laah, sikuwakuta ndio nikaenda na hospitali nako sikuwakuta
Kwakweli, ila nimejifunza kwa namna ambayo sikuitarajiaKuna watu wanafanya wengine washindwe kusaidiwa sababu ya tabia zao..!!
Tenda wema nenda zako! Shida haina siku moja. Atarudisha mironjo yake siku nyingine watu wa aina km hiyo huwa hawana aibu kuomba tena msaada..!!
Nikwambie kitu wala usihuzunike na kuvunjika moyo. Kwanza hapo umeokoa maisha ya mtoto ambaye hajui chochote kuhusu dunia hii. Baraka zako zipo kwa huyo mtoto na sio mama yake, Mungu atakubariki zaidi ulipotoa na usife moyo siku nyingine kusaidia wengine..!!
Mkuu maana yake sitakiwi hata kujua wanaendeleaje yeye na mtoto, maana ndio hoja yangu ilipo hapo.. sihitaji anilipe chochote mkuu ni vile ameniignore usingejiskia vizuri hata ungekua ni wewe..Huna haja ya kusubiri hiyo taarifa wala asante yake. Ukifanya jambo amua unalifanya kwa ajili ya wewe na sio kwa ajili ya mtu mwingine. Kwa hiyo ukifanya unakuwa umetimiza nia yako na kama mazingira hayakupi favour kuendelea na hilo, unaishia hapo kama ilivyotokea kwako.
Eti kwakweli umejibu Kama bibi mkubwa wangu.Kwakweli
nadhani hujanielewa kipenzi,Nimemsaidia with an open heart kabisa sihitaji anilipe chochote…maana yake sikutakiwa kujua hata mtoto anaendeleaje seriously??.. Just imagine mgonjwa ambaye unamshughulikia gafla huna taarifa yake yoyote unapiga simu hazipokelewi unaenda hadi hospitali hawapo, then unakuja kuona status kama hizo, hata ungekua wewe ungejiskiaje??Pole sana
Kwani ulimsaidia Ili akulipe wema?au atoe shukrani?
Wema wako Mungu ndo anajua na atakulipa kupitia Kwa wengine ila binadamu Huwa hatuna shukrani Wala hatulipi jema Kwa jema
Kwakweli angeweka hizo status nikiwa najua kinachoendelea wala hata nisingeumia mkuu,, Nilijiona amenidharau kwasababu hashiki simu zangu na yupo online.. Bora hata angeniambia hata kwa meseji kua washatoka nisingesumbuka hata kwenda tena hospitaliMpotezee Tu,ningekua Mimi pia ningekua.Nisinheumia kwa sababau kaweka status walomsaidia,ningeumia zaidi kwa kutoka hosp.kimya kimya Bila kunitaarifu.Binadamu hatulingani ila ulivoliweka hapa umepata relief.
Exactly, hutakiwi kujua wanaendeleaje kama umefanya kuwatafuta na hawajaamua kukujulisha. Ndio nimekuachia point hapo awali, kuwa kama mazingira hayaendelei kukupa favour kuendelea na suala hilo bhas kazi yako kwenye hilo imekwisha.Mkuu maana yake sitakiwi hata kujua wanaendeleaje yeye na mtoto, maana ndio hoja yangu ilipo hapo.. sihitaji anilipe chochote mkuu ni vile ameniignore usingejiskia vizuri hata ungekua ni wewe..
Anyways thanks
Lakini pia wengi wanasema usiumie,mimi nasema umia..kwenye maumivu ndo kwenye kujifunza. Umia sana, kama vipi lia kabisa, then ukishamaliza jifunze. Yameshanitokea sana haya maniaje so sishangai. Ukishapiga hatua anza kuwa na boundaries. Haya masuala ya mashosti hasa wa bongo ni unafique grade A. We are very selfish creatures amini kwamba. Huyo shoga ako kakusanua mapema tu maybe kingekukuta kitu kikubwa huko mbelen. Sasa ni muda wa kufanya yako, this might be a wake up call....Shalom
Exactly, hutakiwi kujua wanaendeleaje kama umefanya kuwatafuta na hawajaamua kukujulisha. Ndio nimekuachia point hapo awali, kuwa kama mazingira hayaendelei kukupa favour kuendelea na suala hilo bhas kazi yako kwenye hilo imekwisha.
Nimekuelewa na mm nimemaanisha ukifanyia mtu wema ni kama sadaka binadamu hatuna shukrani kabisa na ukiwaza alivokutendea utazidi kujiumiza samehe tunadhani hujanielewa kipenzi,Nimemsaidia with an open heart kabisa sihitaji anilipe chochote…maana yake sikutakiwa kujua hata mtoto anaendeleaje seriously??.. Just imagine mgonjwa ambaye unamshughulikia gafla huna taarifa yake yoyote unapiga simu hazipokelewi unaenda hadi hospitali hawapo, then unakuja kuona status kama hizo, hata ungekua wewe ungejiskiaje??
Kwakweli marafiki sio wa kuwategemea kabisa mm nilimkopea pesa kwenye kikundi kipind babaake mgonjwa laki 5 mbona nililipa mwenyew hakunilipa,mwaka sasa na Wala hakushtuka siku kajisahau ananiambia nilichukia mkopo bank nikafanyia hiki na hiki alaf mm sijalipwa 😀😀 nilitamani kulia lkn ndio ubinadamu kwenye maumivu Kuna somo piaLakini pia wengi wanasema usiumie,mimi nasema umia..kwenye maumivu ndo kwenye kujifunza. Umia sana, kama vipi lia kabisa, then ukishamaliza jifunze. Yameshanitokea sana haya maniaje so sishangai. Ukishapiga hatua anza kuwa na boundaries. Haya masuala ya mashosti hasa wa bongo ni unafique grade A. We are very selfish creatures amini kwamba. Huyo shoga ako kakusanua mapema tu maybe kingekukuta kitu kikubwa huko mbelen. Sasa ni muda wa kufanya yako, this might be a wake up call....Shalom
hapo ndipo ule msemo wa mfadhili mbuzi unapofanya kazi yake walahi.Kmmk wallahi😞
Utalipwa kwa mlango mwingine mkuu hio ni akiba umeweka kwa Mwenyenzi Mungu usijali.Nimeumia sana mkuu, ameshindwa kunishukuru basi hata angenipigia Simu anijulishe kama wanaendelea vizuri.. Nimeumia haki ya Mungu tena🥺