Sijui kwanini nimeumia hivi

Ila nimeumia mkuu.. Hajanipigia hadi saizi bado
 
Wewe nae ukome bhn, haha
Ukishaskia mtu ni Single mother, kaa nae mbali sana. Hao hawanaga akili ndo maana wameachiwa watoto walee wenyewe. Ni wajinga kupita maelezo, unakuta ni Ego zao ndo zilifanya wakatoka kwa wanaume ili wawaonyeshe kama wanaweza kulea mtoto peke yao na kumbe hawawezi. Take your lessons and go
 
Umeongea ukweli wote mkuu.. Barikiwa sana
 
Kwakweli
 
Me ni mwanamke mkuu.. Ila umenifunza kitu, Asante kwa ushauri 🙏🙏
 
Asante kwa ushauri mzuri mkuu🙏
 
Mimi nakuelewa, ila Shida inakuja kwa kuwa msaada ulikuwa ni kwa mgonjwa na yeye alimuona mgonjwa huyo hivyo ikapelekea moyo kumsukuma kuomba hela kwa wazazi ( watu wake wa ndani) ili asaidie eneo lile, Ukileta Neno Mungu mtu kwenye incident kama hii inakuwa hai work out.
 
tukiwaambia mtu anayebeba mimba akiwa bado hajaolewa ana kasoro zake muwe mnaelewa, nyie mnawaita single mother
amewafanyia dharau wazazi wake , ndugu zake wa tumbo moja. amekuja amevurugana na aliyemzalisha, wewe ndo atakupa heshima.
Pole sana
 
Acha kuumia hivyo Asante yako inakuja.

Lakini nimeumia Sana kuona unaumia kidoti wangu.
 
Asante mkuu, umenielewa sana.. kwa hali aliyokua nayo haikua rahisi kusema tu sina ukizingatia unao watu walau wanaweza kukuunga mkono kwenye kutoa msaada.. Angekua ameniambia kwa simu kwa jinsi hali yangu ilivyokua ningemwambia sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…