Sijui kwanini nimeumia hivi

Sijui kwanini nimeumia hivi

Kama mume aliezaa nae alikua hapokei simu...thats should be your warning sign...wala hajawa single mother bahati mbaya...huyo would be broke forever....
Anaishi fake life!
Hayo nimeyapata saizi baada ya kusoma comments zenu wakuu.. Mungu tu amsaidie kwakweli
 
Duuh...! Nimeumia pia. Najua situation uliyopitia. Ndivyo MUNGU alivyopanga kwa tukio lako.

Fanya hivi nenda kamjulie khali na mwambie yote. Pia mwambie tu hajakufanyia sawa. Ukitoka hapo moyo wako utaachia. Pia naomba nieleweke maana ya kumwambia ni kuondoa mashtaka yako kwa MUNGU. Ksbb ukikaa kimya ukaendelea kuumia peke yako Kwanza utakuwa unaendelea kujiumiza hata wewe. Pili ukikaa kimya na ukasamehe bila kuongea nae wazi ni shtaka kubwa sana mbele za MUNGU.

Kwa hiyo nikuombe ukaongee nae. Ili pia uutengeneze moyo wako. MUNGU akupe wepesi.
Amen🙏🙏.. Nitafanya hivyo nikipata nafasi, Barikiwa sana mkuu
 
Jumla unetumia kama laki 4 hivi.. ambayo ungekaa na familia yako hapo mle KUKU kila siku mngekula KUKU kwa takribani miez miwili.. kila siku ni KUKU tu.

Ah.. ktk swala la Fadhila... huwa sitegemei saana maana yashanikuta, na nikajifunza kuwa natoa hichi ki2 ili kisaidie tu na wala sihitaji any kind of feedback.

And, kizuri zaidi huwa naomba nikutane na watu kama huyo Dada hapo.. huwa ananirahisishia sana endapo baadae akirudi niweze kumchinjia baharini bila HURUMA yoyote ile... tofauti na yule uliyemsaidia na akaonesha positive feedback ya msaada wako, akirudi utapigana tena kumsaidia.. ila hawa wanaojitoa akili ndio wazuri.. akijikausha kama hivyo na ww unamsubiri tu aingie tena kwenye Mfumo.
 
Jumla unetumia kama laki 4 hivi.. ambayo ungekaa na familia yako hapo mle KUKU kila siku mngekula KUKU kwa takribani miez miwili.. kila siku ni KUKU tu.

Ah.. ktk swala la Fadhila... huwa sitegemei saana maana yashanikuta, na nikajifunza kuwa natoa hichi ki2 ili kisaidie tu na wala sihitaji any kind of feedback.

And, kizuri zaidi huwa naomba nikutane na watu kama huyo Dada hapo.. huwa ananirahisishia sana endapo baadae akirudi niweze kumchinjia baharini bila HURUMA yoyote ile... tofauti na yule uliyemsaidia na akaonesha positive feedback ya msaada wako, akirudi utapigana tena kumsaidia.. ila hawa wanaojitoa akili ndio wazuri.. akijikausha kama hivyo na ww unamsubiri tu aingie tena kwenye Mfumo.
Sometimes kushukuru kunamfanya aliyekusaidia ajiskie vizuri.. Ila nimejifunza kitu japo in a hard way
 
Mimi nakuelewa, ila Shida inakuja kwa kuwa msaada ulikuwa ni kwa mgonjwa na yeye alimuona mgonjwa huyo hivyo ikapelekea moyo kumsukuma kuomba hela kwa wazazi ( watu wake wa ndani) ili asaidie eneo lile, Ukileta Neno Mungu mtu kwenye incident kama hii inakuwa hai work out.
Ndo maana nasema bado hamjanielewa.

Mungu ndo anaweza saidia kila mtu, sio binadam mwenzake.

Huyo mtoto sio responsibility yake, ni responsibility ya mzazi ambae ni rafiki tu kwake. Kwa logic yako hapo juu basi aende hospital akasaidie wagonjwa wooote ambao wanaundugu na rafiki zake sasa

Bado hujanielewa. Narudia tena, mwenye uwezo wa kusaidia kila mtu ni Mungu, sio binadamu. Saidia unapoweza ukishindwa acha, wala sio dhambi, ni common sense, but common sense is not aways common
 
Acha kulia lia tafuta hela, hivyo vijisenti ulivyotoa ndo unataka kumtoa navyo mtu roho, ungekuwa mwanaume halafu utoe hela, na papuchi usipewe, si ungeua Leejay49
Shida yako ni umri wako...hajajuyia hela yake hata kidogo..anachoumia ni kuhusu appreciation...kitu ambacho ni hoja kabisa inayoeleweka...tofauti na ww ambae unafikiria kuhusu papuchi et al....
Stupid tyranny....!
 
Ndo maana nasema bado hamjanielewa.

Mungu ndo anaweza saidia kila mtu, sio binadam mwenzake.

Huyo mtoto sio responsibility yake, ni responsibility ya mzazi ambae ni rafiki tu kwake. Kwa logic yako hapo juu basi aende hospital akasaidie wagonjwa wooote ambao wanaundugu na rafiki zake sasa

Bado hujanielewa. Narudia tena, mwenye uwezo wa kusaidia kila mtu ni Mungu, sio binadamu. Saidia unapoweza ukishindwa acha, wala sio dhambi, ni common sense, but common sense is not aways common
Mkuu mimi binafsi nimekuelewa, usitumie nguvu kubwa sana usije ukaenda oposite.. Barikiwa sana🙏🙏
 
Acha kulia lia tafuta hela, hivyo vijisenti ulivyotoa ndo unataka kumtoa navyo mtu roho, ungekuwa mwanaume halafu utoe hela, na papuchi usipewe, si ungeua Leejay49
Nakuombea ubarikiwe wewe na upeo wako wa kufikiri, Sema Amen
 
Shida yako ni umri wako...hajajuyia hela yake hata kidogo..anachoumia ni kuhusu appreciation...kitu ambacho ni hoja kabisa inayoeleweka...tofauti na ww ambae unafikiria kuhusu papuchi et al....
Stupid tyranny....!
Ungeachana nae tu mkuu, ndio maana sikujisumbua kumjibu toka comment yake ya kwanza
 
Mimi nilijifunza kutokuwa na matarajio haswa pale ninapotoa "msaada'". Matarajio ndio huwa yanatuumiza sana.
 
Mimi nimekuelewa Sana mleta mada
Kuna binadamu ukisaidiwa hata kidogo hutoa shukrani hata ya mdomo just neno "asante" inafariji na inakupa moyo kwamba ametambua msaada wako Ila kwa hiki kizazi hasa hawa viumbe wa kike hawana huo moyo!
Kuna dada mmoja nlimkuta njiani mvua kubwa inanyesha nikasimamisha kigari changu(kama cha Mr Bean) nikampa lift japo alikuwa keshaanza kuloa na mvua nikamchukua mpaka mtaa anaokwenda nikamshusha lakini cha ajabu hata neno asante hakuna yaani anashuka anashika simu yake na kumpigia mtu kwamba ndo anashuka kwenye "bajaji"😀
Kisha akatokomea uchochoroni akiendelea kuongea na simu hata hakuniaga yaani nilijiskia vibaya Sana nikajilaumu kumpa lift na kuacha njia yangu kumpitisha huku anakoelekea
Mie nadhani malezi ya siku hizi ndo chanzo mtoto tangu akiwa mdogo hajafundishwa kusema samahani anapokosea na hajui kusema Asante anapopewa kitu
Pipo hazina maana hata usisumbuke nazo
 
Kuhurumia inatoka ndani ya mtu , apo naona tumfundishe namna ya kukabiliana na reaction za watu ili kujifunza namna ya kutoumizwa na maamuzi ya watu wengne juu yake.
Ukieza kuhandle hizo reaction automatically na huruma inapungua tukio la huyo mate wake limempa introduction tu ya jinsi binadamu walivyo
 
Back
Top Bottom