Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Hivi watu wanaotumia neno "kuhemea".....
wakimaanisha kununua matumizi yao....
huwa n watu wa kabila gani? hawa wahemeaji...
Kila kanda kuna baadhi ya code zinakua unique kwa eneo husika, kwa kanda yetu huku utakutana na:-Ndo wenye msemo huo..[emoji28][emoji28] nimetaja hii mikoa nimekumbuka nyanyantole [emoji28][emoji28]jamani haya majina haya[emoji28][emoji28]
hahaha,ni kigoma mkuu hata me kuna jamaa angu anapendaga ongea hivoWatu wa kigoma na kanda ya ziwa
Mkuu hawa ni watu wa mikoa ya Rukwa, Katavi, Kigoma, mikoa ya Lake zone na Kilimanjaro kidogoHivi watu wanaotumia neno "kuhemea".....
wakimaanisha kununua matumizi yao....
huwa n watu wa kabila gani? hawa wahemeaji...
flulanga hakikisha unafata ushauri huu. Hakuna mwizi wala mchawi kwenye pesa zako bali ni kukosa rekodi ya matumizi. Ukifata hivi utasave kiasi cha kumsaidia wife kuanza mradi wa kuleta chochote ndani.Zingatia usemi ya mali bila daftari...ukiandika unachotumia wala hili neno 'unashangaa' halitakuwepo
Andika budget ya mwezi mzima,toa kiasi cha hayo matumizi....pesa iliyobaki iache huko bank
Majibu yote ya mishangao yako yatakuwepo katika maandishi
Amina mkuuuu ubarikiwe sanaflulanga hakikisha unafata ushauri huu. Hakuna mwizi wala mchawi kwenye pesa zako bali ni kukosa rekodi ya matumizi. Ukifata hivi utasave kiasi cha kumsaidia wife kuanza mradi wa kuleta chochote ndani.
Nimependa ulivo real na nimeguswa na tatizo lako. I bet mkeo ni faraja kwako, Mungu awazidishie.
Duh mkuu hongera sana, hata mimi pia najipa moyo naweza kujenga kwamshahara huu huuPole sana mimi hiyo hali huwa inanitokea maranyingitu. Laki 5 unajenga vizuri sana ni hela nyingi sana hiyo. Mimi nimejenga nyumba yangu nikiwa na tak home ya laki7 nyumba ina gharama ya 4p mil.nimeijenga kwa 5 yrs. Nlikopa 9mil nikajenga boma likaisha nikawa nimebakiwa na 2.5mil hivi. Nikapata tena 2.5mil zingine kwa ajili ya likizo yangu nikaziunganisha nikatumia kupaulia nikawa nimamaliza nyumba sasa wife akaanza kusumbua hataki kukaa ya kupanga tena naye ni mtumishi nikamwambia kavute 3mil kwa ajili ya madirisha na milango. Dakika 0 tukawa tumemaliza nikaweka na jamvi tukahamia bila lipu maisha yakaendelea. Nlijenga ndani ya miezi 6 ndo ikafika hivo. Nimekuwa nafanya finishing mdogomdogo mpaka sasa nimebakiza kuweka alminium tu
We Ni mwasibu!!!mkuu nimependa umefikirisha....Ila nikuongezee Kama unafamilia kata bima ya mtoto na mama ake.Walioweka ule usemi wa mali bila daftari huisha bila habari walikuwa wanamaanisha situations kama hizi
Hiyo laki ni wewe umeitumia,hukumbuki tu
Kwanini unawithdraw pesa yote?
Kimsingi ili kujua kila cent imetumikaje ni vizuri ukawa unatumia kwa kuandika ama nzuri zaidi ni kupanga budget ambayo itaonesha zile expenditures(muhimu) zinazotarajiwa kutokea ndani ya mwezi mzima
Hii itakusaidia kuweka records na kuwa na plan nzuri
Theoritically,una take home ya 540,000/=
Sijui bei ya vyakula lakini naassume michele 20 kilos labda ni 50,000+unga 10 kilos 20,000 ambavyo nafikiri hamuwezi kumaliza hivi vyote ndani ya mwezi
Bill ya maji mwezi 20,000
Umeme 50,000
Usafiri na other expenses(emergencies) tenga 150K
Hapo utabakiwa na 250,000
Nyie madogo mnaboa sana kwa threads za kitoto!Ulitaka nije niombe ushauri waaje?
Aiseee!Na take home yangu ni 1.5 sasa
We Ni mwasibu!!!mkuu nimependa umefikirisha....Ila nikuongezee Kama unafamilia kata bima ya mtoto na mama ake.