Walioweka ule usemi wa mali bila daftari huisha bila habari walikuwa wanamaanisha situations kama hizi
Hiyo laki ni wewe umeitumia,hukumbuki tu
Kwanini unawithdraw pesa yote?
Kimsingi ili kujua kila cent imetumikaje ni vizuri ukawa unatumia kwa kuandika ama nzuri zaidi ni kupanga budget ambayo itaonesha zile expenditures(muhimu) zinazotarajiwa kutokea ndani ya mwezi mzima
Hii itakusaidia kuweka records na kuwa na plan nzuri
Theoritically,una take home ya 540,000/=
Sijui bei ya vyakula lakini naassume michele 20 kilos labda ni 50,000+unga 10 kilos 20,000 ambavyo nafikiri hamuwezi kumaliza hivi vyote ndani ya mwezi
Bill ya maji mwezi 20,000
Umeme 50,000
Usafiri na other expenses(emergencies) tenga 150K
Hapo utabakiwa na 250,000