kunze
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 398
- 469
Hapo chini kwenye picha hiyo, kushoto ni Thobias Kifaru ambaye ni msemaji/mhamasishaji wa timu ya mpira wa miguu ya Mtibwa Sugar ya huko Morogoro.
Kulia ni msemaji wa timu ya mpira wa miguu ya Ruvu jkt
Najiuliza tu,kutokana na ushindi ambao timu zao umeipata leo dhidi ya Azam na Simba mtawalia, tutakerwa sana.
Naomba tujiandae kukerwa...
Kulia ni msemaji wa timu ya mpira wa miguu ya Ruvu jkt
Najiuliza tu,kutokana na ushindi ambao timu zao umeipata leo dhidi ya Azam na Simba mtawalia, tutakerwa sana.
Naomba tujiandae kukerwa...