Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana ukimwi huyu muangalie vizuri
Mke wa mtu ni sumuIko hivii kuna mdada ni mke wa mtu ana miaka 28 ivii sasa huwa nachat nae na aliniahidi atanipa penzi mda tuu mm nikasema sawa basi nikawa na mambo yangu ila nikipata mda namsalimia ila aliniambia jamaaa anamzingua mtu wa. Wanawake sana mm nikamwambia vumiliaa tuu sasa leo hiii saa moja nimeona amenipigiaa ameniambiaa anakuja kulala kwangu mtoto wake kamuacha kwa dada yake jamaaa leo kamuuzi anadai ajee tulale niikule poa sasa nishaurini nimkalibishe au na mm nimzingueee ila hapa kwangu anapajuaaa na anasema anakamata boda ajeeee hata chakula nimuwekeee wadau nifanyajeee niko njia pandaaa
Nafikiri hii picha umeiweka ila sio ya huyo unayemsema.
Sasa unaogopa nini,mtakufa na mawazo wenzenu wanauza Hadi vitaru vya madini kwa bei ya kutupa wewe unamuogopa mwanamkeIko hivii kuna mdada ni mke wa mtu ana miaka 28 ivii sasa huwa nachat nae na aliniahidi atanipa penzi mda tuu mm nikasema sawa basi nikawa na mambo yangu ila nikipata mda namsalimia ila aliniambia jamaaa anamzingua mtu wa. Wanawake sana mm nikamwambia vumiliaa tuu sasa leo hiii saa moja nimeona amenipigiaa ameniambiaa anakuja kulala kwangu mtoto wake kamuacha kwa dada yake jamaaa leo kamuuzi anadai ajee tulale niikule poa sasa nishaurini nimkalibishe au na mm nimzingueee ila hapa kwangu anapajuaaa na anasema anakamata boda ajeeee hata chakula nimuwekeee wadau nifanyajeee niko njia pandaaa
Mhhh aisee mbn hatarIko hivii kuna mdada ni mke wa mtu ana miaka 28 ivii sasa huwa nachat nae na aliniahidi atanipa penzi mda tuu mm nikasema sawa basi nikawa na mambo yangu ila nikipata mda namsalimia ila aliniambia jamaaa anamzingua mtu wa. Wanawake sana mm nikamwambia vumiliaa tuu sasa leo hiii saa moja nimeona amenipigiaa ameniambiaa anakuja kulala kwangu mtoto wake kamuacha kwa dada yake jamaaa leo kamuuzi anadai ajee tulale niikule poa sasa nishaurini nimkalibishe au na mm nimzingueee ila hapa kwangu anapajuaaa na anasema anakamata boda ajeeee hata chakula nimuwekeee wadau nifanyajeee niko njia pandaaa