Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana umeingia mjini Juzi juzi.Kwann sasa
Kutoka 20:14Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.
Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja. Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
Si umkatalie sasa. Vp kama asingekuwa ameudhiwa na mme wake. Kwahiyo wewe ni kipozeo. Acha ufala dogoKumbuka sijamlazimushaa
Kutunza heshima ya kiumeWakafanye nini
Aingie twitter, kule misimbe imejaaMkasa wa boss ilikuwa kipindi kile U DIDY haujashika kasi,sahivi ukikamatwa wadau unawapa sababu ya kukufanyia ufirauni
#man mke wa mtu sio asee jamaa afanye mitikasi mingine hata hivyo mbona wasimbe wengi tu mtaani
Sana man! Kugongewa tu demu ambaye hujamuweka ndani unaweza kurusha ngumi sasa ukifumwa na mke wa mtu si ndio jamaa atakumwaga ubongoAingie twitter, kule misimbe imejaa
We Engonga hebu acha kimtisha kijana wa wa2 mwache ajaribu bahati yakeWewe kesho ni maiti.
Jaribu uone
Usikubali kumpeleka Lodge, aje ghetto. hata kama Jamaa yake akija kufumania, upate uhalali wa kumwadhibu kama mvamizi nyumbani kwako. Kumbuka huyo Mwanamke sio Shemeji yako au Dada yako! Chakaza paipu kinyama mpaka adedemele.Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye mambo yangu, lakini nikipata nafasi humjulia hali. Alinieleza kuwa mumewe anampa changamoto sana kwa kuwa mtu wa wanawake wengi, nami nikamshauri avumilie.
Leo saa moja aliniita kwa simu na kusema kuwa anakuja kulala kwangu, akidai kuwa mumewe amemkera sana. Mtoto wake ameacha kwa dada yake na anasema atakamata bodaboda kuja. Ameomba nimpokee na hata nimwandalie chakula. Sasa niko njia panda; nimkaribishe au nimpuuze? Tafadhali, naomba ushauri wenu.
Sawa sawa mkuuuUsikubali kumpeleka Lodge, aje ghetto. hata kama Jamaa yake akija kufumania, upate uhalali wa kumwadhibu kama mvamizi nyumbani kwako. Kumbuka huyo Mwanamke sio Shemeji yako au Dada yako! Chakaza paipu kinyama mpaka adedemele.
Msengerema wwNaweza ila ni mremboo