Sijui nitamsaidiaje huyu rafiki yangu, uume wake haufanyi kazi kabisa

Ujue mara nyingi wazazi wetu wanashindwa kabisa kufuatilia nyendo za mtoto, cha kushangaza wazazi wake wote wawili hawajui, sasa wanamlazisha kuoa lakini anawambia bado. Alikuwa anafanya tiba kwa siri sana huko kwa waganga lkn naona imeshindikana ameona aseme wazi. Inauma sana
 
Dah........!!!!!ni mtihani huo mungu amempa,Allah amjalie subra na ampe siha njema inshaallah,hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri.
 
Aende hospitalini
Kama nilivyosema mkuu jamaa alikuwa ananificha, inavyooneka kwa mazongira yake hospitali kaende. Kuna siku aliniambia nimsidikize kwa Dr mwaka huyu aliyefungiwa. Nikamuuliza anaumwa nini? Akaniambia tumbo linamsumbua sana kaenda kapewa midawa kibao ya kutumia, nakumbuka alitumia km laki 3.5 kwa zile dawa.
Sasa ndio nimepata akili zile dawa hazikuwa za tumbo kama alivyodai zilikuwa za dushe. Katumia ajapona kabisa sasa kaona ngoja tu aseme
 
Mtafute @mzizimkamvu yeye hajafungiwa. Kama mpaka mzazi hajajua basi sio kawaida hiyo.

Kama unaesema hiki sawa na kilema. Kuna kilema cha hivi kweli? Mi sijawahi sikia
 
Ila ndugu zangu ,kama huna cha kumsaidia huna haja kumdhihaki mleta uzi ,haya ni maisha tu yaweza nawe siku moja ukakutwa na tatizo hilo,na kibaya zaidi bora ya yeye ambae hajawahi kufanya kuliko wewe uliekua unafanya.Nimefarijika kuna watu wameonyesha nia ya kumsaidia ndugu yetu.
 
Ni kitu cha kawaida mbona. Hicho ni kilema amezaliwa nacho. Na Mungu ana makusudi yake. Tatizo naona watu wamekalia kumtibu, anyway labda mjaribu huo utashi wenu. But literally hicho ni sawa na kilema, the same same kama mtu anavozaliwa hana mguu.
Hakuna kilema cha namna hiyo ilo n tatzo
 
duh pole sana....Sasa mpe matumaini rafiki yako,Pengine tatizo lake lina ufumbuzi..
 
Ande kwa Dr Mwaka
 
Huyo ndo bas tena,
 
Tatizo hilo lilianxa lini na lilianza vipi au tangu kutoka tumboni hakuwahi kusimamisha mtambo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…