Sijui nitamsaidiaje huyu rafiki yangu, uume wake haufanyi kazi kabisa

Sijui nitamsaidiaje huyu rafiki yangu, uume wake haufanyi kazi kabisa

Daaah...nadhani ufumbuzi utapatikana,wenye taaluma zao wapo hapa
 
Ndio mana nikakwambia wewe mwenyewe ndio dushe mduuu,unaona ulivyo mkari,kama kweli unataka tiba ya jamaa yako lugha mbovu za nini,na nimekwambia aje mwenyewe mjengoni,

Ndio mana nikakwambia huku kwa wakubwa usilete uzi wa kijinga watakun,gamua.

Lakini usijali tutakutumia kama simu zilizofungiwa sasa ivi zipo kama calculator ,ata wewe usijali mana huna nia kama dushe alipandi kuna matumizi mengine tutakutumia na unafaa shaka ya nini.
Usiwe kama mtoto mdogo SASA unalazimisha jamaa aseme ni yeye hata kama sio yeye, kwa hekima za kumkomboa best wake ndiyo maana ameamua kutafuta tiba
 
hatari na nusu, kuna waganga wa kutosha humu ngoja waje
ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jf tena kuna waganga kwikwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww
 
Daaah! aisee... SEX ndo Kila Kitu, Miaka 29 hujawahi dindisha wala kuSEX, Noma sana hiii.

But in God, kila kitu kinawezekana. Ila Jamaa amechelewa sana Kutafuta Ufumbuzi wa hilo Tatizo.
 
Back
Top Bottom