GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Kwa Makusudi Wachezaji wetu Mahiri hasa wa Kigeni Kuchezewa Rafu mbaya katika Mechi Tatu za mwanzo za Ligi
2. Maadui kwenda Bunju huku wakiwa wamevaa Jezi zetu na baada ya Mazoezi wanakusanya Nyasi na Mchanga wa Uwanja kisha kwenda Kuwafunga Kiushirikina Wachezaji wetu
3. Mtu Mmoja katika Benchi la Ufundi, Mjumbe Mmoja na Kiongozi Mmoja kuwa katika Payroll yao kisha mara kwa mara wanatoa Siri zile Muhimu za Kambi na Wachezaji wetu
GENTAMYCINE naomba ile Miiko yote ya yule Mzee Wetu aliyekufa Uwanjani tukicheza na Waangola ifuatwe Msimu huu.
2. Maadui kwenda Bunju huku wakiwa wamevaa Jezi zetu na baada ya Mazoezi wanakusanya Nyasi na Mchanga wa Uwanja kisha kwenda Kuwafunga Kiushirikina Wachezaji wetu
3. Mtu Mmoja katika Benchi la Ufundi, Mjumbe Mmoja na Kiongozi Mmoja kuwa katika Payroll yao kisha mara kwa mara wanatoa Siri zile Muhimu za Kambi na Wachezaji wetu
GENTAMYCINE naomba ile Miiko yote ya yule Mzee Wetu aliyekufa Uwanjani tukicheza na Waangola ifuatwe Msimu huu.