Sijui wale watoto walioungana watakufa pamoja?

Ama kweli umasikini uchawi, tungekuwa na noah zetu saizi walaaa tungekuwa tunaulizana spare parts tu.
 
Kila mmoja ana roho yake moyo wake wanashea kifua akifa mmoja madaktari watawatenginisha na huyu aliyebaki ataishi ingawa ni ngumu kufikiria hiyo ni mipango ya mungu yeye anajua kitakacho kuwapo
Ni ngumu sana kuna kiungo kimoja muhimu sana wanashare kama si moyo basi ini nadhani iko hivyo dr mmoja niliwahi kumsikia akisema hivyo ndio maana hata suala la kuwatenganisha lilikuwa gumu enzi za utoto wao
 
Kila mmoja ana roho yake moyo wake wanashea kifua akifa mmoja madaktari watawatenginisha na huyu aliyebaki ataishi ingawa ni ngumu kufikiria hiyo ni mipango ya mungu yeye anajua kitakacho kuwapo
Inauma
 
Ni ngumu sana kuna kiungo kimoja muhimu sana wanashare kama si moyo basi ini nadhani iko hivyo dr mmoja niliwahi kumsikia akisema hivyo ndio maana hata suala la kuwatenganisha lilikuwa gumu enzi za utoto wao
Kwa kuwa wanatumia kifua kimoja inawezekana imechangia hiyo lakini kikubwa wanashea tumbo tumwachie mungu anajua ingawa wao pia wanataka kuolewa na wanavigezo vya mume wamtakaye
 
Kwa kuwa wanatumia kifua kimoja inawezekana imechangia hiyo lakini kikubwa wanashea tumbo tumwachie mungu anajua ingawa wao pia wanataka kuolewa na wanavigezo vya mume wamtakaye
Atakayewaoa atafaidi sana ila anatakiwa awe na nguvu sana maana ukimpiga huyu na mwingine lazima umpige tofauti na kuwa na wake wawili unawapiga kwa siku tofauti
 
Atakayewaoa atafaidi sana ila anatakiwa awe na nguvu sana maana ukimpiga huyu na mwingine lazima umpige tofauti na kuwa na wake wawili unawapiga kwa siku tofauti

Sivyo walivyo ukipiga unapiga wote wameungana kuanzia kifua tumbo makalio vyote hivyo wanashea tabu kwa mwanaume ni pale mmoja hataki kupigwa mwingine anataka shughuri kumbembeleza asiye taka kwani hata sasa mwingine huwa ni mvivu kula na mwingine ndiye hula sana
 
Acha zako wewe yaani mmoja apigwe harafu asipate hisia za kupigwa? Kama mtu anapigwa tu chumba cha jirani ukasikia miguno tu mwili unasisimuka ije kuwa unaona mwenzio analiwa na mwanaume kakugusa? Na mi sijasema huko chin kuwa wameungana usemavyo ni kweli wameungana juu huku.......ndio maana ilikuwa shida sana hata kuwatenganisha
 
Umewaona japo kwa picha tu wanashea mwili wote isipokuwa kifua ndipo wanavyo viwili sasa huku chini mwingine anataka kutoa mwingine anasema baadaye kama ni wewe unafanyaje maana kila mmoja ana mamlaka nako
 
Umenifanya nifikirie kitu ambacho sikuwaza hata kufikiria... Swali zuri ila mung atajua
 
Mi nadhan lazima wafe wote kwa sababu magonjwa mengi hutokana na mifumo ya maji,hewa,damu nk. So akiugua mmoja ni wote..
 
Umewaona japo kwa picha tu wanashea mwili wote isipokuwa kifua ndipo wanavyo viwili sasa huku chini mwingine anataka kutoa mwingine anasema baadaye kama ni wewe unafanyaje maana kila mmoja ana mamlaka nako
Yaani unamuona mwenzio analiwa na anagugumia kwa raha utasema baadae?? Labda kama unaumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…