yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
then nyerere was right...........but his mistake was just how to fine tune his policy with the world musicTumekuwa chini ya rwanda kimaendeleo, hata wakorea waliokuwa sawa na sisi sasa wako mbali sana. Kuna viongozi wanafikiri wakichapisha pesa zaidi (print more money to cover deficit) bado wanaweza kudhibiti thamani ya pesa yao, kama Idi Amini. Haiba yao huwa ni hasira wanapoambiwa ukweli na kususia vikao. Mwasho uongozi huwashinda na uchumi kuporomoka vibaya.
Are you sure that, during Nyerere regime there were no taxation schemesI believe we have made important progress since then, but with some obstacles. I mean, Babu alikuwa kiongozi mzuri sana (Managed to built a COHESIVE SOCIETY). Lakini his economic policies were ineffective. Kudhani kwamba unaweza ku-build a welfare state without taxation nadhani ilikuwa tondo za mchana. Leo hii tunaona hata wale tuliokuwa tunawaiga (Russia former U.S.S.R, China na Cuba)wamejoin the Free Market Economy. Marehemu hakuwa tayari kuivunja ile kauili yake ya Kutorudi/ Kugeuka nyuma ili asigeuke gunia la chumvi.
Sokoine hakuwahi kujiuzulu kwa sababu ya kutofautiana na Nyerere. Kama kuna mtu aliyekuwa karibu kikazi na Nyerere alikuwa ni Sokoine. Alijiuzulu kwa ajili ya matibabu na pia fursa ya kujiendeleza kielimu. That is a fact. Lete jingine.
Ungekuwa wewe ndo Nyerere ungefanya nini? Kwa miaka ile siyo leo lakini.
Ungekuwa wewe ndo Nyerere ungefanya nini? Kwa miaka ile siyo leo lakini.