Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Hiyo NB, ndo ya kuzingatia usisikize wanaokukatisha tamaaKuhusu bpm sio kweli..bpm zinaendana coz huwa nazisort before sjaanza mix..kama zipo ni chache sana..mfano hebu nitajie ni nyimbo gani hazijaendana bpm?.
Na kuhusu kumix sijafanya cutting kwa sababu kuna mdau juu alishauri hivo.watu wanapenda wasikie wimbo karibia wote sio kama vile unapiga radio kukimbizana na muda..
napiga wimbo angalau mpka chorus ya mwisho ndo nahama..sio kwamba siwez kufanya cut mix..mkuu
Nb.hii nimejitolea kwa ajili ya wadau humu.sio club,radio au nimekodiwa na mtu
Hahahaha sawa mkuuHiyo NB, ndo ya kuzingatia usisikize wanaokukatisha tamaa
Afu mkuu nifanyie wepesi kwenye hizi extended/Intros
hapa chini;
Young Gully _ No way extended
Ayo jay_ your Number extended
Tok _Gal yuh a lead extended
Nikizipata nitakushukuru sana, sana sana, japo kukulipa kwa wema wako sintoweza
Jukwaa la wakubwa hiliHuu Uzi hata sielewi unahusu Nini.
Club bangers ushaziweka humu au?
Hii mix ni ya moto sana, hii wakati una imix akili ulituliza sana mkuuRaggamafin& dancehall vol 2
DVJ NASMILETZ RAGGA MAFFIN&DANCEHALL S MIXCRATE (2)
by Dvj nasmile on hearthis.at | Dancehallhearthis.at
Hahaha..mziki ninaoupenda pia mimi mwenyewe..nishaimbaga sana dancehall au ragga..sema sijatoka tu mkuuHii mix ni ya moto sana, hii wakati una imix akili ulituliza sana mkuu
Weekend ipo vizuri pande hizi vibe kama zote,Habari za weekend
Za ki Nigeria [emoji1184] mkuu ukipata muda Hebu zifanyie namna, utulize akili kama kwenye mix ya dancehall mkuuHabari za weekend
Hapo kwenye RNB ndio atanipata vizuri zaidi.Safi sana Mkuu!
1. Weka R&B za 80's-90s zile za Chombeza
2.Weka pia Bongo Fleva za kuanzia 90s mpaka 2003.
Poa poa mkuu fanya hivoMkuu kazi nzuri ila mixing nzuri huanza na choice ya ngoma nzuri pia transitions ziwe makini. Yani mahadhi ya ngoma yaendane sio nyimbo ya BPM 130 unaichomeka kwenye nyimbo ya BPM 150. It will sound wack.
Mi ni mpenzi wa sweet reggae ila naona ile mix haijakaa vizuri sana. Nakupa list ya tracks jaribu kuzimix halafu utaniambia.
Mbona tayar ipo humuHapo kwenye RNB ndio atanipata vizuri zaidi.