Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

Kuhusu bpm sio kweli..bpm zinaendana coz huwa nazisort before sjaanza mix..kama zipo ni chache sana..mfano hebu nitajie ni nyimbo gani hazijaendana bpm?.

Na kuhusu kumix sijafanya cutting kwa sababu kuna mdau juu alishauri hivo.watu wanapenda wasikie wimbo karibia wote sio kama vile unapiga radio kukimbizana na muda..

napiga wimbo angalau mpka chorus ya mwisho ndo nahama..sio kwamba siwez kufanya cut mix..mkuu

Nb.hii nimejitolea kwa ajili ya wadau humu.sio club,radio au nimekodiwa na mtu
Hiyo NB, ndo ya kuzingatia usisikize wanaokukatisha tamaa
 
Afu mkuu nifanyie wepesi kwenye hizi extended/Intros

hapa chini;
emoji116.png
emoji116.png
emoji116.png


Young Gully _ No way extended

Ayo jay_ your Number extended

Tok _Gal yuh a lead extended

Nikizipata nitakushukuru sana, sana sana, japo kukulipa kwa wema wako sintoweza
 
Mkuu kazi nzuri ila mixing nzuri huanza na choice ya ngoma nzuri pia transitions ziwe makini. Yani mahadhi ya ngoma yaendane sio nyimbo ya BPM 130 unaichomeka kwenye nyimbo ya BPM 150. It will sound wack.

Mi ni mpenzi wa sweet reggae ila naona ile mix haijakaa vizuri sana. Nakupa list ya tracks jaribu kuzimix halafu utaniambia.
 
Mkuu kazi nzuri ila mixing nzuri huanza na choice ya ngoma nzuri pia transitions ziwe makini. Yani mahadhi ya ngoma yaendane sio nyimbo ya BPM 130 unaichomeka kwenye nyimbo ya BPM 150. It will sound wack.

Mi ni mpenzi wa sweet reggae ila naona ile mix haijakaa vizuri sana. Nakupa list ya tracks jaribu kuzimix halafu utaniambia.
Poa poa mkuu fanya hivo
 
Wakuu naomba.naombeni msaada wa kunitajia kila msanii wa bongoflava unayemkumbuka kichwani miaka hiyo..nyimbo aliyotoka nayo..yaani iliyomtambulish kimuziki...nataka nifanye yangu
 
Back
Top Bottom