loykeys
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 1,175
- 910
Mtwaraipo lindi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtwaraipo lindi?
hiyo itakuwa nyingine......ila ya masasi na ya lindi...zina uhusiano flanMtwara
.TUNAENDELEA
WALE WA GOSPAL
![]()
![]()
mkuu
.
Nme download hii ni nzuri ila una mix vitu tofauti soul yaani Ivon Chaka Chacka na Usher Raymond wapi na wapiDaah, Whats love ya Haddaway ndio ulikuwa wimbo wa kwanza niliucheza Nightclub na Exparts wa kizungu (Waingereza)nikiwa chalii mdogo huko Arusha, Crystal club miaka ya 90.
Pamoja na ''I have been thinking about you'' wa London beats
unajua nini mkuu...hizi sometimes nazimix nikiwa club....alafu utakuta ni siku ya wateja kuomba nyimbo....so sina budi kupiga hayo tunaitaga "MAEMBE"Nme download hii ni nzuri ila una mix vitu tofauti soul yaani Ivon Chaka Chacka na Usher Raymond wapi na wapi
So flashback za kina Haddaway, London beats pekee vipi?unajua nini mkuu...hizi sometimes nazimix nikiwa club....alafu utakuta ni siku ya wateja kuomba nyimbo....so sina budi kupiga hayo tunaitaga "MAEMBE"
ila kwa upande mwingine ni kama nafanya branding kwamba nazijua style tofauti tofauti...ndio maana nikasema kwa yule anayetaka official mix nafanya kwa order ..lakin hizi ninazoziweka hapa jukwaan ni kama promo...
Thanx mkuu
Very useful comment....Download app ya Happymod, apps zote za kulipia play store utazipata bure.
Ebu jaribu hii baada ya ku download happy mod app( Mod apk download - HappyMod: 100% working mods! )
Found a wonderful mods for edjing M...od.com/null-mod/com.edjing.edjingdjturntable/
Cc; Iceberg9
ThanksVery useful comment....
ok..zipo mkuuSo flashback za kina Haddaway, London beats pekee vipi?
Hizi za kina Yvone chakachaka, Paty Shange na wengine ziweke kwny kundi LA South African beats za 1990's
Ipo tayari...mkuuHata mimi hii nitaifurahia huwa nazifuata YouTube za kina jarule, sisqo, r. Kelly, destiny child, nelly dilemma na nyingine nyingi hebu atuweke hii kitu
Andaa ya bando..nikuwekeee zipo tayari hapaMi nipo addicted na zile rnb zilizorudiwa kwa reggae kama unazo tupia
Mzee baba bado hujaweka.,..amapiano club bangers vol. 2..
Amapiano club bangers vol.2 bado hujaweka.,. Asante..
Amapiano yahusike mkuu please