Umuzukuru
JF-Expert Member
- May 30, 2019
- 617
- 552
Habari za siku wana JamiiForums,
Nipende kuwajulia hali na kwa wale wenye changamoto za kiafya poleni sana na bila shaka mtapoa na kupona pia
Moja kwa moja kwenye lengo kuu. Tafadhali sana Utakapofungua na kusikliza tafadhali usisite kutoa
Maoni, Ushauri, Dukuduku.
Na bidii nyinginezo nazotakiwa kufanya ili kuweza kuboresha kazi zangu katika safari hii ambayo nimeianza
Siku njema kwako na kwa uwapendao.
View attachment 2575730
Nipende kuwajulia hali na kwa wale wenye changamoto za kiafya poleni sana na bila shaka mtapoa na kupona pia
Moja kwa moja kwenye lengo kuu. Tafadhali sana Utakapofungua na kusikliza tafadhali usisite kutoa
Maoni, Ushauri, Dukuduku.
Na bidii nyinginezo nazotakiwa kufanya ili kuweza kuboresha kazi zangu katika safari hii ambayo nimeianza
Siku njema kwako na kwa uwapendao.
View attachment 2575730