Sikilizeni makolo, kama kuifunga Yanga ni rahisi basi ifungeni nyie

Sikilizeni makolo, kama kuifunga Yanga ni rahisi basi ifungeni nyie

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kumekua na blah blah nyingi sana kutoka kwa mashabiki wa makolo., kila timu inayofungwa na Yanga kisingizio chao ni kwamba wapinzani wanaongwa

Ukweli ni kwamba katika ile rekodi ya unbeaten kwenye mashindano ya ndani hata makolo pia mmechangia maana mngeweza kuifunga Yanga katika mechi 6 mlizokutana (ngao ya jamii 2, ligi kuu 3 na semi final fa cup 1) basi Yanga asingekua unbeaten kwa karibu mechi 50 hapa nyumbani sasa hivi.

Makolo acheni kuzisakama timu zingine kama kuifunga Yanga ni rahisi basi ifungeni nyie kwenye mashindano yoyote mtakayokutana vinginevyo mnazidi kuthibitisha ukweli wa ile kauli ya Rage
 
Kumekua na blah blah nyingi sana kutoka kwa mashabiki wa makolo., kila timu inayofungwa na yanga kisingizio chao ni kwamba wapinzani wanaongwa

Ukweli ni kwamba katika ile rekodi ya unbeaten kwenye mashindano ya ndani hata makolo pia mmechangia maana mngeweza kuifunga Yanga katika mechi 6 mlizokutana (ngao ya jamii 2, ligi kuu 3 na semi final fa cup 1) basi Yanga asingekua unbeaten kwa karibu mechi 50 hapa nyumbani sasa hivi.

Makolo acheni kuzisakama timu zingine kama kuifunga Yanga ni rahisi basi ifungeni nyie kwenye mashindano yoyote mtakayokutana vinginevyo mnazidi kuthibitisha ukweli wa ile kauli ya Rage
Well said
 
Kumekua na blah blah nyingi sana kutoka kwa mashabiki wa makolo., kila timu inayofungwa na Yanga kisingizio chao ni kwamba wapinzani wanaongwa

Ukweli ni kwamba katika ile rekodi ya unbeaten kwenye mashindano ya ndani hata makolo pia mmechangia maana mngeweza kuifunga Yanga katika mechi 6 mlizokutana (ngao ya jamii 2, ligi kuu 3 na semi final fa cup 1) basi Yanga asingekua unbeaten kwa karibu mechi 50 hapa nyumbani sasa hivi.

Makolo acheni kuzisakama timu zingine kama kuifunga Yanga ni rahisi basi ifungeni nyie kwenye mashindano yoyote mtakayokutana vinginevyo mnazidi kuthibitisha ukweli wa ile kauli ya Rage
Hawa Mikia FC Makolo FC ni mbwiga sana.
 
Pambeni na hali zenu acheni kutwa kucha kuitaja Simba. Na mtafurushwa kwenye hatua za awali tuuu sio kwa midomo hii
 
Pambeni na hali zenu acheni kutwa kucha kuitaja Simba. Na mtafurushwa kwenye hatua za awali tuuu sio kwa midomo hii
😃😃 Naona mtani kibao kimegeuka! Mashabiki wenzako wamekutelekeza baada ya Wananchi kupata ushindi ambao hamkuutarajia kabisa kule Tunisia!

Sasa umebakia peke yako. Ungekuwa ndiyo mimi! Aisee ningetimua tu mbio na mimi, kuelekea kusikojulikana.
 
😃😃 Naona mtani kibao kimegeuka! Mashabiki wenzako wamekutelekeza baada ya Wananchi kupata ushindi ambao hamkuutarajia kabisa kule Tunisia!

Sasa umebakia peke yako. Ungekuwa ndiyo mimi! Aisee ningetimua tu mbio na mimi, kuelekea kusikojulikana.
Watarudi tuu wanawapa space mpumue
 
Back
Top Bottom