- Thread starter
- #21
Kana kwamba akichoma matairi ya gari hayatanipa vichomi wakati tunaishi pamoja!.Mambo ya 'mimi kama mimi' na 'yeye kama yeye' heheheeee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kana kwamba akichoma matairi ya gari hayatanipa vichomi wakati tunaishi pamoja!.Mambo ya 'mimi kama mimi' na 'yeye kama yeye' heheheeee....
Huyu sichana ni jinga na huyu kijana hajielewi.
Alianza kumtafuta Peter wa P square akijisogeza sogeza kwama awe anampost. Akaweka waji kwamba akiconnect na watu maarufu atapata fanbase kubwa. Peter wa P Square akamtolea nje.
Alipopata kuona macho ya huyu mondi yanamwelekea akajibeba mzima mzima na mabegi tayari kuja kukaa na mondi. Pengine ili lengo la kujiconnect lifikiwe, akabeba mimba chapchap, na muda mfupi baadaye waliona hawana chemistry.
Maneno aliyosaema huyu binti baada ya kuondoka Tanzania yalikuwa dhahiri kwamba mondi alitumika. Alisema "Sisi tukipata ujuzi kidogo tu, ukituonyesha, tunabeba na kufanya kweli".
Mambo mengi aliyoendelea nayo yalionyesha ameingia kwenye ushindani na baba wa mtoto wake.
Kaja kuleta mtoto, anaanza kujirahisi kama mnyama asiyweza kutawala hisia zake. Naona atazaa mtoto wa pili ili kumpigilia sawa sawa mondi.
Mambo ya nyota, tabia na kukosa maadili so forth hawayakumbuki tena.
Hapa hakuna love ila ni tamaa tu za mwili na malengo ya uchumi.
SIONI CHEMISTRY KATI YA HAWA WATU WAWILI!
It is normal. Wafu ni wengi, walio hai ni wachache!.Utakuwa Zuchu weye...
Anazo kazi kibao ni admin wama group mengiKuna haja ya kufatilia maisha ya mtu hivi..
Mtoto wa kiume hebu maliza akili zako kwenye kutafuta hela.
#YNWA